Marekebisho yafanyike kwenye tawi la NMB Buzuruga - Mwanza

Marekebisho yafanyike kwenye tawi la NMB Buzuruga - Mwanza

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Nianze kwa kusema kuwa NMB ni Benki inayopendwa na Watanzania wengi kuliko Mabenki mengine yote. Katika Tawi la NMB - Buzuruga kuna matatizo makubwa.

(1) Kuna madirisha 6 ya kuwahudumia wateja lakini madirisha 2 au moja ndiyo kila siku inafanya kazi. Mteja anaweza akapanga foleni kwa muda wa saa nzima hata saa moja na nusu.

(2) Pamoja na madirisha hayo mawili kufanya kazi kila mara nyingi utamkuta teller ametoka na hivyo kuwafanya wateja kusubiri kwa muda mrefu.

Inawezekana kuwa uongozi wa pale ndiyo tatizo hivyo tunaomba marekebisho yafanyike ili wateja wafurahie huduma ya benki ambayo kwa kweli ni benki ya wanyonge.
 
Kuna watu Bado hawatk kubadilika benk kwa sasa uende unakias kikubwa Cha kutoa au kuweka, unatumia chek na huduma ambyo huwez kupta kwa wakala...huduma nyingi zinapatkana bila kutumia benk
kwa wakala unaweka hadi milioni 20 unatoa hadi milioni 10 kwa mpigo
mtu na kamilioni kake anapiga kele foleni
watu wabadilike
 
Back
Top Bottom