Marekebisho yanayofanywa yataathiri vituo ambavyo watu wamekwisha pangiwa?

Annuity

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2013
Posts
338
Reaction score
198
Husika na kichwa hapo juu, sababu kuna wengine wamekwisha anza safari.
 
Husika na kichwa hapo juu, sababu kuna wengine wamekwisha anza safari.
sijui umekula maharage ya wapi wewe!!!? aaaaahhhh! hufai kabisa, hueleweki hata kidogo!
 
sijui umekula maharage ya wapi wewe!!!? aaaaahhhh! hufai kabisa, hueleweki hata kidogo!

naamin hufahamu kinachoendelea so you better be quit
 
Husika na kichwa hapo juu, sababu kuna wengine wamekwisha anza safari.

Hebu funguka zaidi uweze kupata majibu ya swali lako.

Marekebisho gani yaliyofanywa na nani na kuwaathiri akina nani waliopangiwa vituo gani vinavyohusiana na nini?
 
maskini! unatia huruma.

Mbona husomek jombaa, jenga hoja basi ueleweke! Inaelekea unapenda sn mipasho? sipo upande huo ndugu, ninaomba ufafanuz kwa nilichouliza tu basi.
 
Mbona husomek jombaa, jenga hoja basi ueleweke! Inaelekea unapenda sn mipasho? sipo upande huo ndugu, ninaomba ufafanuz kwa nilichouliza tu basi.
kumbe unajua kuna kujenga hoja!!?
 
Hebu funguka zaidi uweze kupata majibu ya swali lako.

Marekebisho gani yaliyofanywa na nani na kuwaathiri akina nani waliopangiwa vituo gani vinavyohusiana na nini?

Watz mbona hampo current? Mbona mnapenda kutafuniwa? Mbona ni wavivu kufikiria? Hivi huwez kabisa ku connect dot..? Sitaki jibu tena..! Hakuna wa kunijibu kama type ya wajibuji yenyewe ndio hii.
 
Jamani walengwa wanajijua... Kama sio mhusika pita kimya tu.
 
Hebu funguka zaidi uweze kupata majibu ya swali lako.

Marekebisho gani yaliyofanywa na nani na kuwaathiri akina nani waliopangiwa vituo gani vinavyohusiana na nini?

Tamisemi wanafanya narekebisho wanapanga upya ajira za walimu babu kuna chuo kilifanya makosa kutuma majina kikatuma ya watu ambao sio.
 
Jamani walengwa wanajijua... Kama sio mhusika pita kimya tu.

Nisaidie kuwaelewesha ndugu hapa Walimu tarajali only! Wengine tunapenda michango yenu ila No thanks piteni tu.
 
Mbona mtoa mada yuko sahihi tu.

Mimi sijaona mahali ambapo hajaeleweka coz haya marekebisho hakika lazima kuna raiaa watabadilishiwa vituo vyao vya mwanzo
 
yap kutakuwa na mabadiliko subirini list nyingine itakuwa updated soon.
 
nahusika sana na hii mada, asiehusika na kama hana majib bora akakaa kimya tu kuliko kufanya kidding kwa kila k2
 
yap kutakuwa na mabadiliko subirini list nyingine itakuwa updated soon.

hiyo soon ndiyo inayonikosesha imani! kama unaweza kunisaidia, hiyo soon ni today au tuhesabu masiku tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…