Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hujui maana ya demokrasia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anao uhuru wa kutoa maoni yake hata ambayo hayaungwi mkono na serikali,ww uko dunia ya ngapi?MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!
Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa...
Watu wenye mawazo kama yako ndio wanaotuvurugia mataifa yetu.MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!
Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 1961...
Walinzi wa mzigo wa n nyaaa wanaongezeka huko kwa kasi ya six G.Wewe ni mjinga akili finyu kama travota zako..huko ccm vichaa ni wengi nawe umeongeza idadi ya vichaa
MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!
Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 1961.
Analazimisha Tanzania yetu ionekane ina mifarakano na machafuko. Kutwa humchongea Rais wetu kwa mataifa na Taasisi kubwa nje kwa kichaka cha uhuru wa Kujieleza. Uzuri ANAPUZWA.
Kuna uhuru wa Kujieleza ambao upo halali na ulioimarishwa tele na Rais Dkt Samia kwa mujibu wa Katiba yetu ibara ya 18,
na,
Kuna uhuru wa kueneza chuki, vitisho, kutwezana utu na kudhalilishana ambao ndio unafanywa na kuimarishwa na Mwanaharakati, Maria Sarungi kupitia MARIA SPACE yake katika mtandao wa Twitter (X).
Kutwa "anamshushua" Rais Dkt Samia kutii utawala wa Sheria ila yeye na wafuasi wake vinara wa kuvunja sheria kwa wanaeneza chuki na kutaka kumpindua Rais Dkt Samia.
Kiufupi hadi sasa Maria anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa mawili ama zaidi; makosa ya uhaini na makosa ya mitandao kwa kuvunja sheria zifuatazo;
Sheria ya Makosa ya Mtandao (Cyber Crimes Act) ya mwaka 2015 sehemu ya 3 ambapo huwa anafanya makosa ya kimtandao ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo, zinazopotosha, zisizo sahihi, kwa lengo la kudhalilisha, kutishia, kutusi, kudanganya na kuchochea chuki baina ya wananchi na Rais na dola kwa ujumla.
Aidha kwenye uchochezi huo mitandaoni Maria ameleta tafrani nchini kupitia mitandao ya kijamii kinyume na kifungu cha 55 (1) (C) (d)( e) cha sheria ya Kanuni ya adhabu (penal Code) Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022.
Kosa kubwa lingine zaidi analofanya Maria ni yeye mwenyewe na wafuasi wake kupitia Maria Space aliyoianzisha, kwa nyakati tofauti kuta kauli tata zisizohimilika za kuhamasisha maandamano ya kishari na migogoro inayolenga kuleta machafuko na kumpindua Rais Dkt Samia.
Mfano Agosti 12, 2024 kupitia Space yake alitangaza nia yake ya kuanzisha mafunzo kwa vijana wa CHADEMA kuwafunda namna ya kuanzisha na kuratibu MIGOGORO (RESISTANCE) dhidi ya Rais Dkt Samia na Serikali yake ili iondoke madarakani.
Hii ni kinyume na Vifungu vya 39 na 40 vya Sheria ya Kanuni za Adhabu vinavyoeleza matendo yanayoweza kutambulika kuwa ni makosa ya Uhaini pamoja na adhabu ya matendo hayo.
USHAHIDI wa makosa haya mawili ya uhaini na makosa ya mitandao umejaa tele mitandao hususani twitter (x) na YouTube kwenye online TV yake ya Mwanzo TV ambapo huwa anarekodi kila anachozungumza na wafuasi wake.
Kama tunavyofahamu Sheria ni msumeno, Tunaviomba vyombo vya Ulinzi na Usalama vimkamate popote alipo hata huko Nairobi alipojificha kwa Sheria za Kimataifa aletwe nchini kujibu tuhuma hizi na kuadhibiwa kwa mujibu wa Sheria na KUFUNGWA MARIA SPACE.
Ndugu zangu Watanzania;
Wasiturubuni watu wa aina ya Maria wanaotufitini ili waendelee kulipwa posho na vikundi visivyo na nia njema na nchi yetu kwa manufaa ya familia zao. Usalama wa nchi yetu ni uhai wetu. Machafuko yakitokea hayataangalia chama, dini wala ukanda wako.
Itoshe sote kumshukuru Mhe. Rais Dkt Samia kwa kutuletea mageuzi makubwa katika Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Kujieleza tukiachana na maboresho yasiyomithimika ya sekta zote za uchumi.
Amekubali Maridhiano ya makundi yote, Mchakato wa Katiba Mpya, Mabadiliko ya Sheria za vyama vya Siasa, Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi, kurejeshwa wanasiasa waliokimbia nchi, kulipwa mafao kwa wanasiasa kama Tundu Lissu, Uwajibikaji wa watumishi, Ajira mpya, mshikamano baina yetu n.k
Mama "hana baya" tumtunze aendelee kututunza kwa kutuongoza vema hadi 2030, tusiufuje uungwana wake kwa maslahi yetu binafsi kama akina Maria na CHADEMA ambao bila utulivu na migogoro dhidi ya Rais na Serikali ya CCM hawawezi kuendesha maisha yao.
TAHADHARI: Kauli chafu na vitendo haramu dhidi ya Kiongozi mwema, huweza kumgeuza kiongozi huyo mwema kuwa Mtawala aitwaye Dikteta.
Mungu ibariki Tanzania.
Suphian Juma Nkuwi,
A concerned Citizen
Agosti 14, 2024
Kwa taarifa yako tunamuelewa vizuri huyo maria kuliko ccm.MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!
Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 1961
MARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!
Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 196...
Mkuu watanzania wengi washachonganishwa na serikali yao yaani wanaichukia bila kujua wanatumika na wanasiasa wapumbav wanaotaka kuaribu aman ya nchiMARIA SARUNGI AKAMATWE, MARIA SPACES IFUNGWE!!
Maria hajawahi kuona zuri lolote la Rais Dkt Samia. Tangu aingie Ikulu 2021, mwezi wa kwanza tu hata hajajua korido za Ikulu alianza kumzodoa. ANA WIVU NA CHUKI na Rais wetu, mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huu nchini tangu tupate uhuru 1961.
Analazimisha Tanzania yetu ionekane ina mifarakano na machafuko. Kutwa humchongea Rais wetu kwa mataifa na Taasisi kubwa nje kwa kichaka cha uhuru wa Kujieleza. Uzuri ANAPUZWA.
Kuna uhuru wa Kujieleza ambao upo halali na ulioimarishwa tele na Rais Dkt Samia kwa mujibu wa Katiba yetu ibara ya 18,
na,
Kuna uhuru wa kueneza chuki, vitisho, kutwezana utu na kudhalilishana ambao ndio unafanywa na kuimarishwa na Mwanaharakati, Maria Sarungi kupitia MARIA SPACE yake katika mtandao wa Twitter (X).
Kutwa "anamshushua" Rais Dkt Samia kutii utawala wa Sheria ila yeye na wafuasi wake vinara wa kuvunja sheria kwa wanaeneza chuki na kutaka kumpindua Rais Dkt Samia.
Kiufupi hadi sasa Maria anastahili kukamatwa na kushtakiwa kwa makosa mawili ama zaidi; makosa ya uhaini na makosa ya mitandao kwa kuvunja sheria zifuatazo;
Sheria ya Makosa ya Mtandao (Cyber Crimes Act) ya mwaka 2015 sehemu ya 3 ambapo huwa anafanya makosa ya kimtandao ikiwemo kuchapisha taarifa za uongo, zinazopotosha, zisizo sahihi, kwa lengo la kudhalilisha, kutishia, kutusi, kudanganya na kuchochea chuki baina ya wananchi na Rais na dola kwa ujumla.
Aidha kwenye uchochezi huo mitandaoni Maria ameleta tafrani nchini kupitia mitandao ya kijamii kinyume na kifungu cha 55 (1) (C) (d)( e) cha sheria ya Kanuni ya adhabu (penal Code) Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022.
Kosa kubwa lingine zaidi analofanya Maria ni yeye mwenyewe na wafuasi wake kupitia Maria Space aliyoianzisha, kwa nyakati tofauti kuta kauli tata zisizohimilika za kuhamasisha maandamano ya kishari na migogoro inayolenga kuleta machafuko na kumpindua Rais Dkt Samia.
Mfano Agosti 12, 2024 kupitia Space yake alitangaza nia yake ya kuanzisha mafunzo kwa vijana wa CHADEMA kuwafunda namna ya kuanzisha na kuratibu MIGOGORO (RESISTANCE) dhidi ya Rais Dkt Samia na Serikali yake ili iondoke madarakani.
Hii ni kinyume na Vifungu vya 39 na 40 vya Sheria ya Kanuni za Adhabu vinavyoeleza matendo yanayoweza kutambulika kuwa ni makosa ya Uhaini pamoja na adhabu ya matendo hayo.
USHAHIDI wa makosa haya mawili ya uhaini na makosa ya mitandao umejaa tele mitandao hususani twitter (x) na YouTube kwenye online TV yake ya Mwanzo TV ambapo huwa anarekodi kila anachozungumza na wafuasi wake.
Kama tunavyofahamu Sheria ni msumeno, Tunaviomba vyombo vya Ulinzi na Usalama vimkamate popote alipo hata huko Nairobi alipojificha kwa Sheria za Kimataifa aletwe nchini kujibu tuhuma hizi na kuadhibiwa kwa mujibu wa Sheria na KUFUNGWA MARIA SPACE.
Ndugu zangu Watanzania;
Wasiturubuni watu wa aina ya Maria wanaotufitini ili waendelee kulipwa posho na vikundi visivyo na nia njema na nchi yetu kwa manufaa ya familia zao. Usalama wa nchi yetu ni uhai wetu. Machafuko yakitokea hayataangalia chama, dini wala ukanda wako.
Itoshe sote kumshukuru Mhe. Rais Dkt Samia kwa kutuletea mageuzi makubwa katika Demokrasia, Haki za Binadamu na Uhuru wa Kujieleza tukiachana na maboresho yasiyomithimika ya sekta zote za uchumi.
Amekubali Maridhiano ya makundi yote, Mchakato wa Katiba Mpya, Mabadiliko ya Sheria za vyama vya Siasa, Uchaguzi na Tume ya Uchaguzi, kurejeshwa wanasiasa waliokimbia nchi, kulipwa mafao kwa wanasiasa kama Tundu Lissu, Uwajibikaji wa watumishi, Ajira mpya, mshikamano baina yetu n.k
Mama "hana baya" tumtunze aendelee kututunza kwa kutuongoza vema hadi 2030, tusiufuje uungwana wake kwa maslahi yetu binafsi kama akina Maria na CHADEMA ambao bila utulivu na migogoro dhidi ya Rais na Serikali ya CCM hawawezi kuendesha maisha yao.
TAHADHARI: Kauli chafu na vitendo haramu dhidi ya Kiongozi mwema, huweza kumgeuza kiongozi huyo mwema kuwa Mtawala aitwaye Dikteta.
Mungu ibariki Tanzania.
Suphian Juma Nkuwi,
A concerned Citizen
Agosti 14, 2024
Mkuu unaonanaga post za uyo Dada kweli ? Jibu kama mtanzania achana na siasaSufiani kwanini unataka akamatwe dada Maria. Labda nikuulize kitu, wewe umewahi kuona baya la Rais Samia? Kama hujawahi kuona je unatakiwa ukamatwe?
Kweli katika watu milioni 60 unataka wote mfanane mawazo kaka Sufiani? Na msipofanana basi wale wa opposite wakamatwe?
Zamani wewe hukuwa ccm si ndio? Je ulitakiwa ukamatwe?
Kwako mkuu amani ya nchi ni ccm wakiwa madarakani si ndio?Mkuu watanzania wengi washachonganishwa na serikali yao yaani wanaichukia bila kujua wanatumika na wanasiasa wapumbav wanaotaka kuaribu aman ya nchi
InaumaaaaHujala teuzi tu mpaka sasa 😄
Ova
Mkuu unaonanaga post za uyo Dada kweli ? Jibu kama mtanzania achana na siasa
Vitu anavyopost ni sawa ?
Binti wa 1981 huyo,bado mbichiYuko katika PAYROLL...
Ndio wale "waliberali" wanaopokea mlungula kutoka BRUSSELS.....utamu wa fedha hizo umemnogea....hamjali yeyote wala chochote....
Mwenyezi Mungu amzindue shangazi yetu huyo.....