Maria Sarungi alipewa na nani siri ya Ziara ya Rais Samia Nchini Marekani wiki moja kabla ya kutolewa Taarifa rasmi?

Naunga mkono hoja hivyo kikosi kazi cha mauaji chini ya kamanda ABDUL BUSHIRI kinajipanga kumnyogerea mbali huyo sisimizi.maria sarungi ......mayday maday abdul check
 

Wewe KAPUKU unataka kujilinganisha na Maria.

Si unajifanya uko intouch na kinachoelea, sasa unashangaa nini .... POOR you!!
 
Embu wewe na huyo mjinga mwenzako mngekaa pembeni muache wenye akili Timamu wajadili hoja
Lucas huna akili, hata hoja uliyoanzisha inaonyesha bado upeo wako ni mdogo sana wa mambo unayotaka kuyashabikia wewe ni kilaza na mshamba tu na utabaki hivyo kwa vile hutaki kujifunza unaona tayari unajua kila kitu.
 
Lucas huna akili, hata hoja uliyoanzisha inaonyesha bado upeo wako ni mdogo sana wa mambo unayotaka kuyashabikia wewe ni kilaza na mshamba tu na utabaki hivyo kwa vile hutaki kujifunza unaona tayari unajua kila kitu.
Tangia lini na wewe ukawa na akili hadi ya kuelewa mambo ya msingi??
 
Hakuna siri ya watu wawili au zaidi. Hata hayo unayoita ni uzushi sasa utaujagundua ni kweli ni suala la muda tu kama ilivyokuwa kwa ziara hii. Kama hili mwanzo hukuamini na lilmetokea basi na hayo unayoyaita uzushi utayajua wakati wake ukifika
 
Hakuna siri ya watu wawili au zaidi. Hata hayo unayoita ni uzushi sasa utaujagundua ni kweli ni suala la muda tu kama ilivyokuwa kwa ziara hii. Kama hili mwanzo hukuamini na lilmetokea basi na hayo unayoyaita uzushi utayajua wakati wake ukifika
Ukiona mtu anaandika na kuzungumza jambo bila ushahidi ujue huo ni uzushi na uongo tu
 
Kwenzi la utosini hili kwa Chakubanga Mwabustan
 
Samia mpenzi wako na siyo mpenzi wetu mbwa mpumbavu mkubwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…