King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na wahuni waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.
Kumbe sio JPM tena?Mabosi wao kutoka kwenye hivyo vikundi.
Dah hapo cjui, ila ingekuwa n kipindi cha jiwe tungejua hilo mana kelele zingekuwa nyingiHivi,walimkata ulimi?Sijawahi kumsikia akiongea kabisa.
Ni jambo la kufurahisha kwako!?Sizani kama awaja kashika ata papuchii
Inawezekana, maana Besigye kutekwa Kenya kisha leo Maria Sarungi, naamini ingezidi chafua taswira ya Kenya Kimataifa na hata yake mwenyewe Ruto.shukrani pia lile shirika pale kenya wameeleza wazi kuwa mkosoaji wa serikali ya saa 100 ametekwa na mijanaume mitatu ikiwa na bastora naona ruto aliingia kazini
Kama alikimbia Tanzania, mbona alikimbilia jirani hivyo na Tanzania?!!Wakuu,
Kupitia ukurasa wake wa X, Fatma Karume ameweka post ya kuwashukuru wote waliyohakikisha Sarungi anakuwa salama, na kwamba ameambiwa Sarungi amerejea nyumbani kwake.
Soma Pia: Mwanaharakati Maria Sarungi adaiwa kutekwa na watu wenye silaha Nairobi, wakiwa na Noah nyeusi
Kutesa kwa chaguzi hizi uchwara au sio!?Ukipita humu mitandaoni, hususani jf, ndo unajua chadema Wana wafuasi wengi ambao ni mambumbumbu na malofa sana. Acha ccm Iendelee kutesa kule kileleni.
Vipi umehisi umeshikwa t*ko mzee?Ni jambo la kufurahisha kwako!?
Jpm alionesha kuwa inawezekana kukanyaga katiba, kuteka na kuua watu wanaomkosoa, na kufanya anachotaka na hakuna wa kumgusa, kwa hiyo aliyepo na watakaofuata, wote wanaweza kupita mule mule alimopita jpm, kwani hakuna mtu wa kuwaambia chochote. Yeye ndiye mwalimu wa huu uwendawazimu.Hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa hvy na JPM kwa njia ya online akiwa kaburini au?
Nahisi ni nimekushika kalio.Vipi umehisi umeshikwa t*ko mzee?
Mimi ni dume la mbegu bahati mbaya sijawahi kuzaa na mama yako. Muulize vizuri mama yako baba yako ni yupi?Mama yangu ni wewe au leo unanikataa baada ya kumpata bwana mpya atakuacha akikujua una mtoto mkubwa kama mimi?
JPM ndio alianzisha, akawapa mamlaka ya kuteka kisha akafa kwa corona.Kumbe sio JPM tena?
Dume la mbegu nyuma ya keyboard wakati umeolewa unaonekana kwa maneno yako. Wanaume kwa matendo na maneno wanajionyesha, maneno yako ya kike kikeMimi ni dume la mbegu bahati mbaya sijawahi kuzaa na mama yako. Muulize vizuri mama yako baba yako ni yupi?
Numbi...Yako
Basi tuseme JPM hakuwahi kuteka mtu wala kufanya ubaya wowote alikuwa anasingiziwa tu.Hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa hvy na JPM kwa njia ya online akiwa kaburini au?
Wajinga sana hawa, wameng'ang'ania kumsingizia mtakatifu JPM wakati sasa hivi yuko mbinguni anaongoza malaika.Ipo siku mtashindwa kubeba mimba za mume zenu na kuanza kumsingizia JPM
Ichukue wewe.Kuwaambia kuwa nyie Bado saaaana kuchukua nchi ndo upumbavu?!!! Sasa nchi hiyo achukue nani, lissu au mbowe?!!!!!!
Sina kipaji Wala sifaIchukue wewe.
HT hawa wa sasa nao Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa na JPM, vp umefurahi adui wa JPM?Basi tuseme JPM hakuwahi kuteka mtu wala kufanya ubaya wowote alikuwa anasingiziwa tu.
Umefurahi sasa kipenzi cha JPM?