Pre GE2025 Maria Sarungi kapatikana na karudi nyumbani kwake, ataongea kuhusu suala hilo Januari 13, 2025

Pre GE2025 Maria Sarungi kapatikana na karudi nyumbani kwake, ataongea kuhusu suala hilo Januari 13, 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Bwana Tsehai kaituhumu moja kwa moja serikali ya Rais Samia pamoja na wahuni waliopo kwenye vyombo vyake vya dola/ usalama.

Serikali ya Ruto haiwezi kuhangaika na Maria ,waliomteka ni wahuni wa kenya waliotumwa na wahuni wa TZ.
 
shukrani pia lile shirika pale kenya wameeleza wazi kuwa mkosoaji wa serikali ya saa 100 ametekwa na mijanaume mitatu ikiwa na bastora naona ruto aliingia kazini
Inawezekana, maana Besigye kutekwa Kenya kisha leo Maria Sarungi, naamini ingezidi chafua taswira ya Kenya Kimataifa na hata yake mwenyewe Ruto.
 
Ukipita humu mitandaoni, hususani jf, ndo unajua chadema Wana wafuasi wengi ambao ni mambumbumbu na malofa sana. Acha ccm Iendelee kutesa kule kileleni.
Kutesa kwa chaguzi hizi uchwara au sio!?
 
Hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa hvy na JPM kwa njia ya online akiwa kaburini au?
Jpm alionesha kuwa inawezekana kukanyaga katiba, kuteka na kuua watu wanaomkosoa, na kufanya anachotaka na hakuna wa kumgusa, kwa hiyo aliyepo na watakaofuata, wote wanaweza kupita mule mule alimopita jpm, kwani hakuna mtu wa kuwaambia chochote. Yeye ndiye mwalimu wa huu uwendawazimu.
 
Mama yangu ni wewe au leo unanikataa baada ya kumpata bwana mpya atakuacha akikujua una mtoto mkubwa kama mimi?
Mimi ni dume la mbegu bahati mbaya sijawahi kuzaa na mama yako. Muulize vizuri mama yako baba yako ni yupi?
 
Mimi ni dume la mbegu bahati mbaya sijawahi kuzaa na mama yako. Muulize vizuri mama yako baba yako ni yupi?
Dume la mbegu nyuma ya keyboard wakati umeolewa unaonekana kwa maneno yako. Wanaume kwa matendo na maneno wanajionyesha, maneno yako ya kike kike
 
Hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa hvy na JPM kwa njia ya online akiwa kaburini au?
Basi tuseme JPM hakuwahi kuteka mtu wala kufanya ubaya wowote alikuwa anasingiziwa tu.

Umefurahi sasa kipenzi cha JPM?
 
Basi tuseme JPM hakuwahi kuteka mtu wala kufanya ubaya wowote alikuwa anasingiziwa tu.

Umefurahi sasa kipenzi cha JPM?
HT hawa wa sasa nao Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa na JPM, vp umefurahi adui wa JPM?
 
Back
Top Bottom