Pre GE2025 Maria Sarungi kapatikana na karudi nyumbani kwake, ataongea kuhusu suala hilo Januari 13, 2025

Pre GE2025 Maria Sarungi kapatikana na karudi nyumbani kwake, ataongea kuhusu suala hilo Januari 13, 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
HT hawa wa sasa nao Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa na JPM, vp umefurahi adui wa JPM?
Sijafurahi, kipenzi chako JPM kaharibu nchi, kaacha magenge ya watekaji ambayo itachukua muda mrefu kuyaondosha.

Pia kasababisha wanaomfuatia kwny utawala wadhani kuwa utekaji ni mbinu nzuri ya uongozi.

Alaaniwe sana huko aliko.
 
Dume la mbegu nyuma ya keyboard wakati umeolewa unaonekana kwa maneno yako. Wanaume kwa matendo na maneno wanajionyesha, maneno yako ya kike kike
Kumbe hapo nyumbani kwenu mwanaume anaolewa!!? Sisi huku wakina ngosha huwa tunaoa wanawake.
 
Sijafurahi, kipenzi chako JPM kaharibu nchi, kaacha magenge ya watekaji ambayo itachukua muda mrefu kuyaondosha.

Pia kasababisha wanaomfuatia kwny utawala wadhani kuwa utekaji ni mbinu nzuri ya uongozi.

Alaaniwe sana huko aliko.
Kutekwa kupo tangu dunia ilipoumbwa. Ukileta ujinga unatekwa na kufanywa mbaya.
 
Kumbe hapo nyumbani kwenu mwanaume anaolewa!!? Sisi huku wakina ngosha huwa tunaoa wanawake.
Wewe kama mwanaume umeolewa, maneno yako ya kike kike, kwa maana nyingine ni shoga
 
Wewe kama mwanaume umeolewa, maneno yako ya kike kike, kwa maana nyingine ni shoga
Shoga ni baba yako mjinga mkubwa. Usinizoee shithole! Ungekuwa karibu na mimi kwa maneno yako hayo ungekuwa kumbukumbu!
 
Ndiye mwanzilishi wa ujinga huu
BBC wamemuandika vibaya sana Magu na utawala wake...
Screenshot_20250116-145750.png
 
Shoga ni baba yako mjinga mkubwa. Usinizoee shithole! Ungekuwa karibu na mimi kwa maneno yako hayo ungekuwa kumbukumbu!
Shoga wewe kama siyo shoga acha maneno ya kishoga shoga. Mpumbavuunatoa lugha chafu halafu ukijibiwa unatoa povu! Jifunze kuwa na adabu
 
Shoga wewe kama siyo shoga acha maneno ya kishoga shoga. Mpumbavuunatoa lugha chafu halafu ukijibiwa unatoa povu! Jifunze kuwa na adabu
Kajifunze adahu kwa mama yako. Shithole!
 
Kutekwa kupo tangu dunia ilipoumbwa. Ukileta ujinga unatekwa na kufanywa mbaya.
Ndio.

Utekaji upo tangu dunia ilipoumbwa, magenge mengi tu ya uhalifu yamekuwa yakiteka watu duniani kote.

Ila hapa Tanzania uhalifu huo kauleta Magufuli.
 
Pole sana Maria...tread carefully...ungehama hapo Kenya...pamechafuka..
 
Ndio.

Utekaji upo tangu dunia ilipoumbwa, magenge mengi tu ya uhalifu yamekuwa yakiteka watu duniani kote.

Ila hapa Tanzania uhalifu huo kauleta Magufuli.
Utakuwa umezaliwa miaka ya 2000 wewe! Au miaka ya nyuma ulikuwa hajitambui. Dr. Ulimboka alitekwa mwaka gani? Au unyumbu unakusumbua!
 
Back
Top Bottom