Maria Sarungi: Naamini mtanzania anahusika juu ya kutekwa kwangu

Maria Sarungi: Naamini mtanzania anahusika juu ya kutekwa kwangu

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Maria Sarungi ameendelea kumwaga mchele kuhusu tukio la kutekwa kwake ambapo amesema kuwa anaamini Mtanzani anahusika katika kutekwa kwake kutokana na sababu mbalimbali.

Maria amesema kuwa kitendo cha watekaji kuwa kumzungusha sehemu mbalimbali na kutaka simu zake na passwords zake ni ishara kuwa wahusika huenda wakawa wanatokea Tanzania kwani serikali ya Kenya haina sababu ya kufanya hivyo.

 
Na yeye hana uhakika?
Hapo washaonyesha wengine kumbe wanaweza kumteka hana ulinzi madhubuti..!!
 
Na yeye hana uhakika?
Hapo washaonyesha wengine kumbe wanaweza kumteka hana ulinzi madhubuti..!!
Huyu boya kweli fujo zote hizo bafo uko hapo rombo kwa mbele....? Walitaka zaidi simu zake ili wajue huku anaongea na nani.....unakumbuka jamaa mmj alitekwa juzi buza ? Ka flag kazini....ataponza wengi sanaaa
 
Wakuu,

Maria Sarungi ameendelea kumwaga mchele kuhusu tukio la kutekwa kwake ambapo amesema kuwa huenda serikali ya Tanzania inahusika katika kutekwa kwake kutokana na sababu mbalimbali.

Maria amesema kuwa kitendo cha watekaji kuwa kumzungusha sehemu mbalimbali na kutaka simu zake na passwords zake ni ishara kuwa wahusika huenda wakawa wanatokea Tanzania kwani serikali ya Kenya haina sababu ya kufanya hivyo.

View attachment 3200945
Namuona kama haja settle bado...aondoke Nairobi sio salama hapo....hata TL walimfuata akiwa hospital....wakastukiwa....ikabidi waongeze ulinzi na kuharakisha transfer kwenda nje......
 
Huyu boya kweli fujo zote hizo bafo uko hapo rombo kwa mbele....? Walitaka zaidi simu zake ili wajue huku anaongea na nani.....unakumbuka jamaa mmj alitekwa juzi buza ? Ka flag kazini....ataponza wengi sanaaa
Maria ahame nchi Kenya sio salama kwake, hawataishia hapo.!!
Kwahiyo ka flag anawalipua??
 
We una uhakika nao gani?
Sasa km hao wakora wameweza kumbananisha mpk kalia, vipi wakija wazee wa kazi wenyewe??
Yeye cha msingi km anajipenda asepe hapo kwa Ruto sio sehemu salama kwake..!!
 
Wakuu,

Maria Sarungi ameendelea kumwaga mchele kuhusu tukio la kutekwa kwake ambapo amesema kuwa anaamini Mtanzani anahusika katika kutekwa kwake kutokana na sababu mbalimbali.

Maria amesema kuwa kitendo cha watekaji kuwa kumzungusha sehemu mbalimbali na kutaka simu zake na passwords zake ni ishara kuwa wahusika huenda wakawa wanatokea Tanzania kwani serikali ya Kenya haina sababu ya kufanya hivyo.

View attachment 3200945
I am sorry

Filmee hii
 
Shida ya kutengeneza uadui na serikali yako kwa kuikosoa kwenye kila kitu ni kwamba unapigwa kote, maadui wa serikali kisiasa wanakuwa maadaui zako gizani maana lolote baya likikukuta adui yako anajulikana na ni faida kwao huku serikali nayo ikiwa haikupendi.

Hapo hatujawagusa bado washindani wako humu duniani, wadeni n.k
Inshort unakuwa mtu wa kubutuliwa na yoyote na lawama zikaenda serikalini. Sasa serikali ni nani? Ushafanyiwa mambo ya ajabu hata ikilaumiwa serikali ni nani exactly analipia huko kubutuliwa kwako?

Uzuri watu kama kina Maria wanalindwa kimataifa, sasa wewe wa gongolamboto migombani ibuka huko muige.
 
Changamoto inayojitokeza kwa wanaharakati wengi ni kutokuwa na nia njema kwenye shughuli zao za kukosoa serikali. Wanaharakati wanatakiwa pia kuiunga mkono serikali endapo itaweza kubadili mienendo yake, au kuunga mkono hoja ambazo wanapigania. Hii ndiyo maana ya kuwa na harakati hizo. Kuwa kwenye mzunguko wa kukosoa serikali bila kikomo hata katika maamuzi mazuri ina ashiria kutokuwa na nia njema
 
Back
Top Bottom