Maria Sarungi: Naamini mtanzania anahusika juu ya kutekwa kwangu

Maria Sarungi: Naamini mtanzania anahusika juu ya kutekwa kwangu

Changamoto inayojitokeza kwa wanaharakati wengi ni kutokuwa na nia njema kwenye shughuli zao za kukosoa serikali. Wanaharakati wanatakiwa pia kuiunga mkono serikali endapo itaweza kubadili mienendo yake, au kuunga mkono hoja ambazo wanapigania. Hii ndiyo maana ya kuwa na harakati hizo. Kuwa kwenye mzunguko wa kukosoa serikali bila kikomo hata katika maamuzi mazuri ina ashiria kutokuwa na nia njema
Wakati wa vyama vingi kabla havijaanzishwa Nyerere alisema hivyo hivyo wapinzani wasiwe wapinzani wa kweli bali waiunge serikali mkono ikiwa na vyama vya upinzani vya uongo ili wafadhiri wamiminike kwa wingi, elewa maana kabla ya kujua maana
 
Maria ahamishe kijiwe ahamishie Europe au US Canada.
 
Wakuu,

Maria Sarungi ameendelea kumwaga mchele kuhusu tukio la kutekwa kwake ambapo amesema kuwa anaamini Mtanzani anahusika katika kutekwa kwake kutokana na sababu mbalimbali.

Maria amesema kuwa kitendo cha watekaji kuwa kumzungusha sehemu mbalimbali na kutaka simu zake na passwords zake ni ishara kuwa wahusika huenda wakawa wanatokea Tanzania kwani serikali ya Kenya haina sababu ya kufanya hivyo.

View attachment 3200945
Ondoka hapo watakuua kweli....wewe shangaa sema hukuwahi kudhania....kwa nini ulienda huko ? Ambapo pia ni kosa sogea ulaya huko
 
Sasa km hao wakora wameweza kumbananisha mpk kalia, vipi wakija wazee wa kazi wenyewe??
Yeye cha msingi km anajipenda asepe hapo kwa Ruto sio sehemu salama kwake..!!
Wakora wanamkaba mtu wakimtaka asiiseme seme serikali unaamini hao ni wakora?!
 
Hata kama wamekula hawezi kusema😀
Mwanzo 6:5. "Bwana akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu siku zote." Mnawaza kama watu wa Dodoma na Gomora na wakati wa Nuhu.
 
Mwanzo 6:5. "Bwana akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu siku zote." Mnawaza kama watu wa Dodoma na Gomora na wakati wa Nuhu.
Sodoma na Gomora
 
Mimi najua iko siku Ataongea tu, kwa sasa najua bado anajiandaa kisaikologia.

Mpeni muda azoee media, atafunguka hadi alivyoachiwa.
 
Back
Top Bottom