Huyu boya kweli fujo zote hizo bafo uko hapo rombo kwa mbele....? Walitaka zaidi simu zake ili wajue huku anaongea na nani.....unakumbuka jamaa mmj alitekwa juzi buza ? Ka flag kazini....ataponza wengi sanaaaNa yeye hana uhakika?
Hapo washaonyesha wengine kumbe wanaweza kumteka hana ulinzi madhubuti..!!
Namuona kama haja settle bado...aondoke Nairobi sio salama hapo....hata TL walimfuata akiwa hospital....wakastukiwa....ikabidi waongeze ulinzi na kuharakisha transfer kwenda nje......Wakuu,
Maria Sarungi ameendelea kumwaga mchele kuhusu tukio la kutekwa kwake ambapo amesema kuwa huenda serikali ya Tanzania inahusika katika kutekwa kwake kutokana na sababu mbalimbali.
Maria amesema kuwa kitendo cha watekaji kuwa kumzungusha sehemu mbalimbali na kutaka simu zake na passwords zake ni ishara kuwa wahusika huenda wakawa wanatokea Tanzania kwani serikali ya Kenya haina sababu ya kufanya hivyo.
View attachment 3200945
We una uhakika nao gani?Na yeye hana uhakika?
Hapo washaonyesha wengine kumbe wanaweza kumteka hana ulinzi madhubuti..!!
Hata kama wamekula hawezi kusema😀Hawajala mzigo kweli
Maria ahame nchi Kenya sio salama kwake, hawataishia hapo.!!Huyu boya kweli fujo zote hizo bafo uko hapo rombo kwa mbele....? Walitaka zaidi simu zake ili wajue huku anaongea na nani.....unakumbuka jamaa mmj alitekwa juzi buza ? Ka flag kazini....ataponza wengi sanaaa
Sasa km hao wakora wameweza kumbananisha mpk kalia, vipi wakija wazee wa kazi wenyewe??We una uhakika nao gani?
I am sorryWakuu,
Maria Sarungi ameendelea kumwaga mchele kuhusu tukio la kutekwa kwake ambapo amesema kuwa anaamini Mtanzani anahusika katika kutekwa kwake kutokana na sababu mbalimbali.
Maria amesema kuwa kitendo cha watekaji kuwa kumzungusha sehemu mbalimbali na kutaka simu zake na passwords zake ni ishara kuwa wahusika huenda wakawa wanatokea Tanzania kwani serikali ya Kenya haina sababu ya kufanya hivyo.
View attachment 3200945
Watekaji hawanaga hizo BwasheeHawajala mzigo kweli
Wataachaje kuonja kitu ya half cast?Hawajala mzigo kweli
Nyinyi hamkosekana craziest stupid rapistHawajala mzigo kweli
Another rapist on the tableWataachaje kuonja kitu ya half cast?