Maria Sarungi ni mwanachama wa CHADEMA?

Maria Sarungi ni mwanachama wa CHADEMA?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Nimefatilia sana ktk uchaguzi huu wa chadema.

Mtu ambaye anatumia nguvu kuhakikisha Lissu anakuwa mwenyekiti ni Maria Sarungi.

Hutu ukipitia X zake anatupa mishale kila kona na kila anaeona Kikwazo cha Lissu. Anamuona Mbowe kama pandikizi ndani ya chadema na kama anamzibia LISSU.

Swali . Jee huyu ni mwanachama wa chadema? Kama sie kwanini anatumia nguvu nyingi sana ktk swala la chadema?

Kama mwanachama kwanini asipande majukwaa ya kisiasa kumnadi Lissu?

Naomba mwenye jibu

Cc
Boni yai
Martin M
Yericko
Ntobi
Na wengine wenye kujua
GfbU4JCaMAAAhUS.jpeg
 
Nimefatilia sana ktk uchaguzi huu wa chadema.
Mtu ambaye anatumia nguvu kuhakikisha Lissu anakuwa mwenyekiti ni Maria Sarungi.
Hutu ukipitia X zake anatupa mishale kila kona na kila anaeona Kikwazo cha Lissu.
Swali . Jee huyu ni mwanachama wa chadema?
Naomba mwenye jibu
Cc
Boni yai
Martin M
Yericko
Ntobi
Na wengine wenye kujua
huyo si msimbe? hizo ndizo tabia za kisimbe🐒
 
Kwani kosa lao ni lipi? Kuruhusu Mbowe kugombea na kumwachia lissu bila kupingwa?
Kwanza kuna viashiria vyote , kuna usaliti mkubwa ndani ya chama, pia umeongoza miaka 20 kuna kipi cha zaidi unaweza pea tena? Katiba yao ipoje? Vipi utakuwa na nguvu gani ya kudai katiba mpya yenye ubora ,wakati yakwako haina hata ukomo wa madaraka?
 
Nimefatilia sana ktk uchaguzi huu wa chadema.
Mtu ambaye anatumia nguvu kuhakikisha Lissu anakuwa mwenyekiti ni Maria Sarungi.
Hutu ukipitia X zake anatupa mishale kila kona na kila anaeona Kikwazo cha Lissu. Anamuona Mbowe kama pandikizi ndani ya chadema na kama anamzibia LISSU.
Swali . Jee huyu ni mwanachama wa chadema? Kama sie kwanini anatumia nguvu nyingi sana ktk swala la chadema?
Kama mwanachama kwanini asipande majukwaa ya kisiasa kumnadi Lissu?
Naomba mwenye jibu
Cc
Boni yai
Martin M
Yericko
Ntobi
Na wengine wenye kujua
Haujakatazwa kupeleka pingamizi mahakamani
 
Kwanza kuna viashiria vyote , kuna usaliti mkubwa ndani ya chama, pia umeongoza miaka 20 kuna kipi cha zaidi unaweza pea tena? Katiba yao ipoje? Vipi utakuwa na nguvu gani ya kudai katiba mpya yenye ubora ,wakati yakwako haina hata ukomo wa madaraka?
Hata katiba ya Tanzania haina ukomo wa madaraka. Wapi imeandikwa ccm itatawala kwa miaka 10?
 
Mtu mwenye akili timamu angefanya hivyo pia, chadema ilipaswa kuwa mfano wa kuigwa , kwenye upande wa demokrasia haki na utawala bora wa sheria.
Hauko timamu kichwani.

Hiki kinachofanyika ni nini kama sio demokrasia? Kwani Lissu amezuiwa kugombea?
 
Nimefatilia sana ktk uchaguzi huu wa chadema.

Mtu ambaye anatumia nguvu kuhakikisha Lissu anakuwa mwenyekiti ni Maria Sarungi.

Hutu ukipitia X zake anatupa mishale kila kona na kila anaeona Kikwazo cha Lissu. Anamuona Mbowe kama pandikizi ndani ya chadema na kama anamzibia LISSU.

Swali . Jee huyu ni mwanachama wa chadema? Kama sie kwanini anatumia nguvu nyingi sana ktk swala la chadema?

Kama mwanachama kwanini asipande majukwaa ya kisiasa kumnadi Lissu?

Naomba mwenye jibu

Cc
Boni yai
Martin M
Yericko
Ntobi
Na wengine wenye kujua
View attachment 3182891

Ni jambo analoona linafaa, heshimu tu mtazaMo wake
 
Back
Top Bottom