Maria Sarungi ni mwanachama wa CHADEMA?

Maria Sarungi ni mwanachama wa CHADEMA?

Ijue tofauti kati ya mwanasiasa na mwanaharakati.. mmoja ni mzalendo mwingine masilahi binafsi
 
Hata katiba ya Tanzania haina ukomo wa madaraka. Wapi imeandikwa ccm itatawala kwa miaka 10?
We punguani wa akili ambaye malaria imeshambulia ubongo wako unataka katiba ya nchi iandike ccm itatawala. Katiba ya nchi inatoa nafasi kwa rais kutoka chama chochote kuongoza Tanzania kwa kipindi cha miaka kumi , katiba ya nchi siyo katiba ya ccm wala chadema.
 
We punguani wa akili ambaye malaria imeshambulia ubongo wako unataka katiba ya nchi iandike ccm itatawala. Katiba ya nchi inatoa nafasi kwa rais kutoka chama chochote kuongoza Tanzania kwa kipindi cha miaka kumi , katiba ya nchi siyo katiba ya ccm wala chadema.
Punguani means what?
 
Mtanzania yeyote timamu ana Maslahi na Chadema, na anakuwa mtazamo, Mimi sina chama, ila nina mtazamo na Chadema hata Ccm, sasa Maria kosa lake ni kwamba ana audience kubwa
Kosa lake ni kupinga demokrasia kuchukua mkondo wake CDM.
 
Kwanza kuna viashiria vyote , kuna usaliti mkubwa ndani ya chama, pia umeongoza miaka 20 kuna kipi cha zaidi unaweza pea tena? Katiba yao ipoje? Vipi utakuwa na nguvu gani ya kudai katiba mpya yenye ubora ,wakati yakwako haina hata ukomo wa madaraka?
Uamuzu wa yote unatakiwa waachiwe wanachama wa CDM. Kama wamemchoka watamtema na kumchagua mwingine. Kama mna imani na Lissu mwachane apambane na awashinde wenake kwa hoja. Sio hii mnayoitaka ya kutaka apewe Uenyekiti kwenye bakuli.
Vyama vya siasa hasa vya upinzani sio nchi. Vinachotakiwa kuangalia ni uwezo wa mtu na si vinginevyo. Hivi Lissu akigombea na kushindwa mtamkataza kugombea tena kwa sababu atakuwa hana jipya?

Amandla...
 
Kwa mtu yyte ambae anaitaji mabadiliko lazma atamuitaji lisuu. Haijalishi mtu uyo ni chama gan
 
Maria lazima.ana kadi ya chadema inaweza ikawa sio.active kama ya dr slaa.
Maria anakula na.kuishi vizuri kwa kupinga mfumo yaani maisha.yake.yanategemea harakati zake.za kisiasa.

Kuna side anaeleweka. Zaidi anapodai katiba mpya na kuvunja imperial leadership. Ila kuna.wakati kama binadamu hisia na.mapenzi yake.yanapinga kila kitu mpaka anapoteza credibility.

Amekuwa mwiba mchungu kwa mbogamboga za kijani. Anaishi uhamishoni Kenya kwa political asylum anakula hela.za ford foundation plus unhcr.
 
Back
Top Bottom