calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 274
Weka mbali na watoto, sumu haionjwi ndugu yangu.Jamani naomba profile ya huyu dada a ana naona yuko kila engo. Profession yake na elimu yake.
Je ana mume au watoto na kama hana je nianze process???
Mbona hafanani na philemon?
Mkuu alijiaibisha alifanya NN?Alijiaibisha sana bunge la katiba..nenda twiter ndio anashinda huko na akina Zito na January
Yaani ni kweli kwamba huyu sister anajitambu kinoma:Mimi anakumbuka,Very Smart yani anajitambua
Mama yake mdhunguMbona hafanani na philemon?
Very Smart yani anajitambua
Mkuu Kichaula, hivi kwa madudu aliyokuwa anafanya advocate mmnda ndani ya BLK hakuzawadiwa hata udc?Yaani ni kweli kwamba huyu sister anajitambu kinoma:Mimi anakumbuka,
wakati wa bunge la katiba! ambalo
lilizaa katiba pendekezwa uchwara! yeye hakushiriki hadi mwisho Aliachia njiani! Nachelea kusema kusema aliondokaga na kundi la UKAWA. na hakurudi tena baada ya kutokea sintofahamu kati ya Tanzania One na Ukawa. Ambapo waliobaki wakatuijia na rasimu ya Chenge! Na Mmanda. Advocate.
Ila sasa ni mwana CCMYaani ni kweli kwamba huyu sister anajitambu kinoma:Mimi anakumbuka,
wakati wa bunge la katiba! ambalo
lilizaa katiba pendekezwa uchwara! yeye hakushiriki hadi mwisho Aliachia njiani! Nachelea kusema kusema aliondokaga na kundi la UKAWA. na hakurudi tena baada ya kutokea sintofahamu kati ya Tanzania One na Ukawa. Ambapo waliobaki wakatuijia na rasimu ya Chenge! Na Mmanda. Advocate.
Ampe nani! Juzi Mkutano mkuu ule wa sisiem alikuwa kajipanga kumrithi Abraham KinanaMkuu Kichaula, hivi kwa madudu aliyokuwa anafanya advocate mmnda ndani ya BLK hakuzawadiwa hata udc?