Maria Sarungi ni nani?

Maria Sarungi ni nani?

Ulichoandika hapa ni kweli kabisa. Naona sasa kapunguza speed ya kupiga tarumbeta ingawaje bado akili yake iko huko kwa wanafiki.

Hakupotea bali ilikuwa ni msimamo wake halisi. Miezi ya kwanza ya Magu alikuwa mpuliza tarumbeta ya kumshangilia mpk alipogundua mtoto siyo riziki ndo akaanza kujirudi ila kwangu CCM wote ni wanafiki tu
 
Inabidi hadi mzinduke au mzinduliwe kwa kweli; hivi kweli kabisa bado mnaamini Lowassa ndio alikuwa chaguo sahihi. Mtalaumu watu wote wengine duniani isipokuwa nyinyi wenyewe. Ni muhimu kuanza kuwajibika kwa maamuzi yenu wenyewe!
Inawezekana Lowasa hakuwa sahihi, na hata huyu anaweza pia kuwa sio sahihi zaidi
 
Ulichoandika hapa ni kweli kabisa. Naona sasa kapunguza speed ya kupiga tarumbeta ingawaje bado akili yake iko huko kwa wanafiki.
Alipokuwa kwenye Bunge la katiba alijitahidi kujiweka pembeni ila msimamo wangu ni moja tu, mtu yeyote mwanachama wa CCM sifa yake namba moja ni unafiki.

Mmoja wao ni Polepole. Wote sawa tu
 
Nilipanda naye KQ siku moja to Nairob kampani yetu ilishoboka kumuongelesha wakat tupo kwenye shuttle la airport ya JKIA alileta pozi za ajabu hawa watu in real life ni wanafiki sio wanaharakati
 
Hakupotea bali ilikuwa ni msimamo wake halisi. Miezi ya kwanza ya Magu alikuwa mpuliza tarumbeta ya kumshangilia mpk alipogundua mtoto siyo riziki ndo akaanza kujirudi ila kwangu CCM wote ni wanafiki tu

hahahaaa
 
Jamani naomba profile ya huyu dada a ana naona yuko kila engo. Profession yake na elimu yake.

Je ana mume au watoto na kama hana je nianze process???
Amesomea Communication kwa kifupi hayo mengine ni ufahamu wa kawaida kila mwenye kujituma kiakili anaweza kujua mambo mengi. Chamsingi tambua yeye ni communication specialist
 
Maria sarungi alisisoma shule ya msingi oyster bay.O-level na A- level alisoma zanaki sec.Degree ya kwanza alisoma hungary na degree ya 2 alisoma marekani.Then akaajiriwa na gaziti la new york post.Ka sasa ni mkurugenzi wa campss solution co.ltd.Yeye ni mtoto wa mwisho wa prof.sarungi.MAMA yake ni mzungu wa hungary.Prof.sarungi amewahi kuwa mkurugenzi wa muhimbili,waziri wa afya,uchukuzi,elimu na ulinzi.Pia amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa pwani na kilimanjaro.Vilevile amekuwa mbunge wa rorya kwa miaka 10.Maria ameolewa.
 
Ni mtoto wa mzee sarungi..na yupo kwenye miss universe na anamiliki kampuni ya media.
Pia ni mdau msuri kwenye twitter akiwa na followers wengi . Hutumia muda mwingi kuwavuta watu kwenye slogan ya change lakini no pro ccm. Ni kada wa ccm wa kutupwa ....lakini hajitokezi hadharani.
 
Hata mimi nafahamu kwamba ni mjukuu wa wajaluo ambae ni mtoto wa Mbunge mstaafu wa Rorya Ndugu Philemon Mikulo Sarungi
 
Mama yake ni mzungu raia Russia.

Ni moja kati ya watu walio boha sana wakati wa Uchaguzi.

Mkuu, mzee Profesa Sarungi alisomea kozi yake ya udaktari wa mifupa nchini Hungury.

Kuna wakati aliwahi kuwa RC wa Pwani na alishiriki operations za majeruhi wa ajali za gari pale Tumbi hospital Kibaha.

Madaktari wengi enzi ya mwalimu Nyerere, walisomea udaktari khasa katika nchi za Bulgaria na Hungury.

Wakati huo ilikuwa ni bure kutokana na urafiki wa serikali zetu.

Hivyo pitiapitia tena kuhusu mama wa dada yetu.
 
Maria sarungi alisisoma shule ya msingi oyster bay.O-level na A- level alisoma zanaki sec.Degree ya kwanza alisoma hungary na degree ya 2 alisoma marekani.Then akaajiriwa na gaziti la new york post.Ka sasa ni mkurugenzi wa campss solution co.ltd.Yeye ni mtoto wa mwisho wa prof.sarungi.MAMA yake ni mzungu wa hungary.Prof.sarungi amewahi kuwa mkurugenzi wa muhimbili,waziri wa afya,uchukuzi,elimu na ulinzi.Pia amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa pwani na kilimanjaro.Vilevile amekuwa mbunge wa rorya kwa miaka 10.Maria ameolewa.

Familia yao wamezaliwa wangapi? Kama wako wengi hao wengine wako wapi na wanafanya kazi gani .
 
Back
Top Bottom