Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,508
Ni mjaluo?Huyo ni Binti yetu wa Utegi. She is very smart in discussions.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mjaluo?Huyo ni Binti yetu wa Utegi. She is very smart in discussions.
Ohhhh kwa hiyo ana mumeprof alizaa na mkewe mzungu,pia huyo dada mmewe ni raia wa Ethiopia.
Sikufuatilia lile Bunge...alifanyeje?Alijiaibisha sana bunge la katiba..nenda twiter ndio anashinda huko na akina Zito na January
Hao ukawa wamekuwa kama mataahira,sisi wengine tumebaki kuwaangalia kwa huruma tu. Nchi hii haijawa na watu wote hopeless kiasi cha kuongozwa na Lowassa.Inabidi hadi mzinduke au mzinduliwe kwa kweli; hivi kweli kabisa bado mnaamini Lowassa ndio alikuwa chaguo sahihi. Mtalaumu watu wote wengine duniani isipokuwa nyinyi wenyewe. Ni muhimu kuanza kuwajibika kwa maamuzi yenu wenyewe!
Utafiti ulifanywa na Twaweza.. Mariah alienda kuchangia kwenye mjadala kama mwalikwa... Of course mlishikwa akili na wajanja kiasi kwamba hamkuwa mkijua mlifanyalo.. Matusi yenu hayajambadili Maria kama mwanamke anajielewa sana. Poleni sana.Alivyotoa majibu ya kale kautafiti kake uchwara by Twaweza aliambulia matusi Twitter adi alipaona pachungu
M mwenyewe nilishiriki
Cha kufanya aende akamuulize Maria kama yupo tayari kuendelea na TsehaiKaa mbali jomba, mke wa mtu huyo, mumewe aitwa Mr Tsehai.
Mama yake mzungu.Mbona hafanani na philemon?
Degree ya kwanza alisomea nini na Chuo kipi huko Eastern Europe?Maria sarungi alisisoma shule ya msingi oyster bay.O-level na A- level alisoma zanaki sec.Degree ya kwanza alisoma hungary na degree ya 2 alisoma marekani.Then akaajiriwa na gaziti la new york post.Ka sasa ni mkurugenzi wa campss solution co.ltd.Yeye ni mtoto wa mwisho wa prof.sarungi.MAMA yake ni mzungu wa hungary.Prof.sarungi amewahi kuwa mkurugenzi wa muhimbili,waziri wa afya,uchukuzi,elimu na ulinzi.Pia amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa pwani na kilimanjaro.Vilevile amekuwa mbunge wa rorya kwa miaka 10.Maria ameolewa.
Hiyo kazi ya ukuwadi sasa, na kuuliza uliza nako ni dalili ya woga uki yavulia maji nguo yaoge tu,Ni Maria Sarungi lakini navyo jua anajina la ziada la Tsehai kama sikosei, ikiwa na maana atakuwa ameolewa pengine na mtu wa Ethiopia, ila watu hufuata nyuki wakijua pia kuna miba,kama ni manundu yatapona tu, songa kidume.Jamani naomba profile ya huyu dada a ana naona yuko kila engo. Profession yake na elimu yake.
Je ana mume au watoto na kama hana je nianze process???
Sikufuatilia lile Bunge...alifanyeje? alikaa vibaya?
Alijiaibisha na nini Bunge la Katiba? Mbona alijiondokea mapema na Ukawa binti wa watu hakutaka makuu na kuwaacha wabunge uchwara waliotafuna pesa zetu na kutuletea madudu?Alijiaibisha sana bunge la katiba..nenda twiter ndio anashinda huko na akina Zito na January
Duh, naona CV zote muhimu umemshushia, labda kama anataka kujua na idadi ya watoto alionao maana amesema anataka kuanza processMaria sarungi alisisoma shule ya msingi oyster bay.O-level na A- level alisoma zanaki sec.Degree ya kwanza alisoma hungary na degree ya 2 alisoma marekani.Then akaajiriwa na gaziti la new york post.Ka sasa ni mkurugenzi wa campss solution co.ltd.Yeye ni mtoto wa mwisho wa prof.sarungi.MAMA yake ni mzungu wa hungary.Prof.sarungi amewahi kuwa mkurugenzi wa muhimbili,waziri wa afya,uchukuzi,elimu na ulinzi.Pia amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa pwani na kilimanjaro.Vilevile amekuwa mbunge wa rorya kwa miaka 10.Maria ameolewa.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] jfAlivyotoa majibu ya kale kautafiti kake uchwara by Twaweza aliambulia matusi Twitter adi alipaona pachungu
M mwenyewe nilishiriki
Wakupime.She is very smart, understanding and friendly. I don't know much about her professional life history but her first impression to me was that.