Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yupo prof.Martin sarungi,Dr.Emoke sarungi,Dr.Veronica sarungi na Maria Sarungi.Prof.Martin yuposcotland,Dr.Emoke yupo sweden,Dr.Veronica na Maria wapo dar.Maria ameolewa na muethiopia Tshei.NAFIKIRI UMENIELEWA VYEMA.Familia yao wamezaliwa wangapi? Kama wako wengi hao wengine wako wapi na wanafanya kazi gani .
Maria siyo mganga njaa kama unavyofikiri mkuu!.Kabla ya kutuhumu ni vyema ukajiridhisha kwa kile unachoandika....asanteMganga njaa huyo kila sekta yupo
nganya na wengine mkuu.Ni haki za wasanii na sanaa mkuu....fanya followup plsAnajifanya feminist Wa kutetea haki za wanawake na muda huo huo ana shindano la miss universe kutembeza Dada na wadogo zetu uchi jukwaani... Shame on her
wewe umesomea nini,lini,wapi , unafanya nini kwa sasa na huko nyuma uliwahi kufanya nini?.....jibu ujibiweDegree ya kwanza alisomea nini na Chuo kipi huko Eastern Europe?
Degree ya pili umesema alipata marekani tafadhali naomba majina ya vyuo na miaka aliyosoma huko USA
Umesema Ali wahi kuwa mwandishi wa habari wa azwti linalomilikiwa na Rupert Murdoch la New York Post. Naomba utuleteee articles alizoandika za NYP
Warusi kumbe ni wazungu?Mama yake ni mzungu raia Russia.
Ni moja kati ya watu walio boha sana wakati wa Uchaguzi.
Warusi kumbe ni wazungu?
Haswa! Kwani wewe unajua wazungu ni akina nani na wanapatikana wapi?Wewe ulifikiri ni wagogo?? Kwiiikwiikwii
Emotional...wewe umesomea nini,lini,wapi , unafanya nini kwa sasa na huko nyuma uliwahi kufanya nini?.....jibu ujibiwe
Au tunajibizana naye kwenye uzi huuuLakini huyu mwanamama anavo penda social media huu uzi atakuwa kashauona, hapa atakuwa anakunywa chai taratibu akichungulia watu wanavoshoboka naye. 😀😀😀😀😀
Yote yanawezekana, unaweza kuta hata ndo mtoa mada. Jf ina vituko wewe.. hizi ID fake hizi we acha tuAu tunajibizana naye kwenye uzi huuu
Hehehe..Yote yanawezekana, unaweza kuta hata ndo mtoa mada. Jf ina vituko wewe.. hizi ID fake hizi we acha tu
Ndiyo aliyekuwa kampeni manager wa Hilary Clinton mgombea urais wa Marekani huko twiter anadhani atakuja kulambiwa U-DCMganga njaa huyo kila sekta yupo
Unauliza pumbaa kweli wewe,Warusi kumbe ni wazungu?
Anakera kila kitengo yupo. Nilipigwa na butwaa siku iyo nilivomuona yupo kwenye mkutano wa mambo ya kilimo nadhani ulikua umedhaminiwa na Bill Gates Foundation. Anakaba sana.Ndiyo aliyekuwa kampeni manager wa Hilary Clinton mgombea urais wa Marekani huko twiter anadhani atakuja kulambiwa U-DC
Nilishapoteza credibility kwake alivyokuwa anatetea tafiti hata penye ukweli anapotosha kipindi cha uchaguzi alipokuwa na Twaweza. Huko nyuma nlikuwa namwona smart but after that nkajua ni mchumia Tumbo.
Kama baadhi yetu tulivyokua tukiwaamini waliojipambanua kama wapinga ufisadi na uonezi Tanzania kumbe ni ....... tu.Nilishapoteza credibility kwake alivyokuwa anatetea tafiti hata penye ukweli anapotosha kipindi cha uchaguzi alipokuwa na Twaweza. Huko nyuma nlikuwa namwona smart but after that nkajua ni mchumia Tumbo.