Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa hao watakuwa omeje zakoyupo prof.Martin sarungi,Dr.Emoke sarungi,Dr.Veronica sarungi na Maria Sarungi.Prof.Martin yuposcotland,Dr.Emoke yupo sweden,Dr.Veronica na Maria wapo dar.Maria ameolewa na muethiopia Tshei.NAFIKIRI UMENIELEWA VYEMA.
Kama wamekutoa uhai kweli basi damu yako itawalilia hadi kizazi cha nneYaani tunachekeshaga sana.Hivi mtu akitofautiana na wewe kimawazo ndio umuite majina ya ajabu ajabu? Kwa hiyo watu hapa wanataka watu wanaowaza sare.
Maria yupo Smart na ni activist wa kweli.Tatizo watu tunapenda ku-attack watu tu bila sufficient grounds
Tabia chafu sana hii
Mtoto wa Philemon Sarungi aliyekua mkuu wa mkoa Kilimanjaro enzi hizo
Inabidi hadi mzinduke au mzinduliwe kwa kweli; hivi kweli kabisa bado mnaamini Lowassa ndio alikuwa chaguo sahihi. Mtalaumu watu wote wengine duniani isipokuwa nyinyi wenyewe. Ni muhimu kuanza kuwajibika kwa maamuzi yenu wenyewe!
Naona kama ana stress fulani hivi,mara nyingi wanaharakati huwa na kaugonjwa ka msongo wa mawazoMkuu alijiaibisha alifanya NN?
Mkuu kitanda hakizai haramuMbona hafanani na philemon?
Hana u-smart wowote, rangi yake tu na jina la baba yake ndo linambeba, ni kama tu walivyo akina January Makamba, Nape Nnauye na Hussein Mwinyi!
Tena pure wazungu mjomba...ila sio warusi wale wanaoishi kwenye zile Republics kama Dagestan au Chechnya..si unajua Russian Federation ina Republics kibao ambapo kila Republic ina Rais wao ambapo Rais wa MaRais ni Vladimir???? Sijui unanielewa lakini??Warusi kumbe ni wazungu?
Hivi ndo hauta rudi tena. We miss uYaani tunachekeshaga sana.Hivi mtu akitofautiana na wewe kimawazo ndio umuite majina ya ajabu ajabu? Kwa hiyo watu hapa wanataka watu wanaowaza sare.
Maria yupo Smart na ni activist wa kweli.Tatizo watu tunapenda ku-attack watu tu bila sufficient grounds
Tabia chafu sana hii
Fyatueni maana watasoma bure.Jamani naomba profile ya huyu dada a ana naona yuko kila engo. Profession yake na elimu yake.
Je ana mume au watoto na kama hana je nianze process???
![]()
![]()
Kila la kher mtoa post,nadhan bandiko lako limekuja muda muafaka hususan katika kipindi hiki muhimu cha kutii agizo la mheshimiwa la kufyatua watoto
Uko sawa kabisa...Huyu ni mchumia tumbo kama wengine angalia tweeties zake za nyuma mtanielewa
Hana u-smart wowote, rangi yake tu na jina la baba yake ndo linambeba, ni kama tu walivyo akina January Makamba, Nape Nnauye na Hussein Mwinyi!