calmdowndear
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 605
- 274
- Thread starter
- #141
YUKO WAPI WIKI HIII MY LOVE?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uwezo wako wa kufikiri ni kama wa marehemu masaburiFamilia yao wamezaliwa wangapi? Kama wako wengi hao wengine wako wapi na wanafanya kazi gani .
yeye amebebwa na jina la baba yake kivipi?.......Rudi shule ukasomeHapa kuna ukweli flani wengine wanabebwa na majina ya wazazi wao
Wanawake wa namna hata kukaa jikoni ni shida,utasikia kwanza ngoja niangalie ratiba yanguSister anafaaa sana wakuuu
Mmanda ni DC kule kwa DangoteMkuu Kichaula, hivi kwa madudu aliyokuwa anafanya advocate mmnda ndani ya BLK hakuzawadiwa hata udc?
Hahaha yaani comedy kabisa walahiAmpe nani! Juzi Mkutano mkuu ule wa sisiem alikuwa kajipanga kumrithi Abraham Kinana
Alidanywa alikuwa keshadakisha dakisha wajumbe! wakamlaghai kuwa
angelirithi ukatibu Mkuu.
ILa mkuu akawachanilia mbali
ya kuwa kuna ambao wamehonga honga akatamka nataka sekretarieti nzima ibaki! akabaki amelala doro [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23]
Lowasa kutokuwa sahihi haimaanishi huyu tuliyenae ni chaguo sahihi.Kila mmoja anabeba msalaba wake.Period!!.Inabidi hadi mzinduke au mzinduliwe kwa kweli; hivi kweli kabisa bado mnaamini Lowassa ndio alikuwa chaguo sahihi. Mtalaumu watu wote wengine duniani isipokuwa nyinyi wenyewe. Ni muhimu kuanza kuwajibika kwa maamuzi yenu wenyewe!
It hurts to read from this man. Very very painful.Yaani tunachekeshaga sana.Hivi mtu akitofautiana na wewe kimawazo ndio umuite majina ya ajabu ajabu? Kwa hiyo watu hapa wanataka watu wanaowaza sare.
Maria yupo Smart na ni activist wa kweli.Tatizo watu tunapenda ku-attack watu tu bila sufficient grounds
Tabia chafu sana hii
It hurts to read from this man. Very very painful.[/QUOTE
Yes. ...Yes. ..
So sad. ..
Unalolisema ni kweli niliwahi kukutana nae sehemu flan kwenye viunga vya jijini tukiwa na seminar moja hv.. Akaleta pozi flan hv wakati kwenye mitandao huwa tunawasiliana sana... In real life anajikuta godwalking on earthNilipanda naye KQ siku moja to Nairob kampani yetu ilishoboka kumuongelesha wakat tupo kwenye shuttle la airport ya JKIA alileta pozi za ajabu hawa watu in real life ni wanafiki sio wanaharakati
Pozi au hakushoboka na wewe .,usimind mkuuUnalolisema ni kweli niliwahi kukutana nae sehemu flan kwenye viunga vya jijini tukiwa na seminar moja hv.. Akaleta pozi flan hv wakati kwenye mitandao huwa tunawasiliana sana... In real life anajikuta godwalking on earth
mzaliwa wa urusiMama yake mzungu.
ndo uache kushobokea ma-celebrity wa bogno ipo siku utaumbuka peupeUnalolisema ni kweli niliwahi kukutana nae sehemu flan kwenye viunga vya jijini tukiwa na seminar moja hv.. Akaleta pozi flan hv wakati kwenye mitandao huwa tunawasiliana sana... In real life anajikuta godwalking on earth
Jamani naomba profile ya huyu dada a ana naona yuko kila engo. Profession yake na elimu yake.
Je ana mume au watoto na kama hana je nianze process???
![]()
![]()
Mkuu Kichaula, hivi kwa madudu aliyokuwa anafanya advocate mmnda ndani ya BLK hakuzawadiwa hata udc?
Not good!Huyu ni dada asiyejitambua. Kaolewa na mkimbizi wa Kihabesh asiyejitambua pia.
Zamani nilisikia kisa kua Prof Sarungi alimfanyia upasuaji mchezaji flani either wa Simba au yanga ambaye iliaminika asingepona baada ya kuvunjika. Mwemye kumbukumbu sahihi anisaidieWewe unamjua Sarungi kama Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, sisi tunamjua kama Daktari Bingwa wa Mifupa na Waziri wa Afya enzi za Ben Mkapa, upo?