wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Dildo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndio wanawake wa shoka,huko ccm wamejaa wakata mauno tu kazi yao kutafunwaMaria Sarungi - yupo very calm anapokuwa na hoja, anasikiliza na anaeleza kwa utulivu sana. Ana msimamo,uelewa na hana kiburi/ujivuni. Si mtaalamu wa sheria but yupo smart.
Fatma Karume - Ana Jazba, mihemko si mzungumzaji mtulivu ana lack comm skills kwa kutumia maneno ya makwazo au ya kutaka kuonesha she is strong. Anajishuku sana kama mwanamke. Ni very feminist. Ila anaifaham sheria na anapenda kusimamia anachoamini.
Acheni ujinga na upuuzi jamani. Ni mwanamke gani asiyefanywa hivyo au mwanaume asiyefanya hivyo au unaongelea jamii ya mashoga mwanangu?Hawa ndio wanawake wa shoka,huko ccm wamejaa wakata mauno tu kazi yao kutafunwa
Sisi tunajua ni mashujaa waliothubutu,we know where you stand for.Unatuletea hawa wajinga ili kupata nini? Mie naona wote sawa tu. Ni mabinti wa vigogo waliolewa uzito wa familia zao. Wamebebwa na hilo kufikia hapo walipo.
na wamekula na kosoma kwa kodi zetu.....Unatuletea hawa wajinga ili kupata nini? Mie naona wote sawa tu. Ni mabinti wa vigogo waliolewa uzito wa familia zao. Wamebebwa na hilo kufikia hapo walipo.
Kama ni NOBEL ya kwako sawa utawapa.Mbona ni kama unadharau mchango wa wana wake katika kutetea haki na utawala wa sheria.Hawa wadada wawili wanastahiki tuzo ya amani ya NOBEL
Una ugomvi na akina mama?Kama ni NOBEL ya kwako sawa utawapa.
Maslahi yakeNi nakosa kumuita Halima mzee.
It is defamation of high degree kufanya hivyo. Achana myth ya aina hiyo.
Hata hivyo kwenye kusimamia Nini, mimi naona anasimamia usaliti.
Na wewe lewa na uzito wa familia yako.Unatuletea hawa wajinga ili kupata nini? Mie naona wote sawa tu. Ni mabinti wa vigogo waliolewa uzito wa familia zao. Wamebebwa na hilo kufikia hapo walipo.
Kumbe kiumbe mwenyewe mdudu! Mie sina muda wala uwezo wa kujibizana na midudu. We kweli mdudu kweli kweli kwaheriNa wewe lewa na uzito wa familia yako.