Maria Sarungi vs Fatma Karume kuna mambo haya

Hawa ndio wanawake wa shoka,huko ccm wamejaa wakata mauno tu kazi yao kutafunwa
 
Hawa ndio wanawake wa shoka,huko ccm wamejaa wakata mauno tu kazi yao kutafunwa
Acheni ujinga na upuuzi jamani. Ni mwanamke gani asiyefanywa hivyo au mwanaume asiyefanya hivyo au unaongelea jamii ya mashoga mwanangu?
 
Unatuletea hawa wajinga ili kupata nini? Mie naona wote sawa tu. Ni mabinti wa vigogo waliolewa uzito wa familia zao. Wamebebwa na hilo kufikia hapo walipo.
Sisi tunajua ni mashujaa waliothubutu,we know where you stand for.
 
Unatuletea hawa wajinga ili kupata nini? Mie naona wote sawa tu. Ni mabinti wa vigogo waliolewa uzito wa familia zao. Wamebebwa na hilo kufikia hapo walipo.
na wamekula na kosoma kwa kodi zetu.....
 
Ni nakosa kumuita Halima mzee.

It is defamation of high degree kufanya hivyo. Achana myth ya aina hiyo.

Hata hivyo kwenye kusimamia Nini, mimi naona anasimamia usaliti.
Maslahi yake
 
Unatuletea hawa wajinga ili kupata nini? Mie naona wote sawa tu. Ni mabinti wa vigogo waliolewa uzito wa familia zao. Wamebebwa na hilo kufikia hapo walipo.
Na wewe lewa na uzito wa familia yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…