Mariam Biriani amevuna alichopanda kuna la kujifunza

Hahaha huyo hajui strategic marketing! Kimsingi mkundu ndio ulikuwa unaboost sales pale na wala hata sio hio biriani yenyewe!
Nafkr jamaa hakujua hilo..watu wanakula biriani na biriani yenyew
 
Biashara kuporomoka kwa masi ni uongo. Nina rafiki yangu anakaa karibu na anapouzia biriani yake anasema Leo wateja ni wengi kuliko kawaida
Kwanza ndio wateja wataongezeka zaidi ikizingatiwa kwamba washajua rasmi kuwa kuna huduma ya biriani la mtaroni.

Wapenda mtandao watakua free kuomba huduma.


Nchi ina vituko vingi Sana hii.


BTW nimekumiss wa kunyumbaa!
 
Kwanza ndio wateja wataongezeka zaidi ikizingatiwa kwamba washajua rasmi kuwa kuna huduma ya biriani la mtaroni.

Wapenda mtandao watakua free kuomba huduma.


Nchi ina vituko vingi Sana hii.


BTW nimekumiss wa kunyumbaa!
Eeh biashara lazima ishike kasi sasa hivi.

Nipo wakunyumba bundle linaninyima kuingia sana huku
 
Sikubaliani kabisa na ule utaratibu wake wa kutangaza biriani huku akituonyesha makalio ni upunguani na kukosa akili ni dhahiri kwamba anatangaza biashara ya tigo kwa ujanja acha kutetea ushenzi jombaa
Mkuu mbona madada wengine wakisonga ugali mwili unanesanesa au kwa vile ni biriani.
 
Biashara inataporomoka?
Watu wamejazana wanapiga biriani Kama kawa
Hujui Tabia za wabongo? Wakisikia mlio wa bomu badala ya kukimbia wajiokoe wao ndo wanakimbilia eneo la tukio kuona kimetokea nini
 
Biashara inataporomoka?
Watu wamejazana wanapiga biriani Kama kawa
Hujui Tabia za wabongo? Wakisikia mlio wa bomu badala ya kukimbia wajiokoe wao ndo wanakimbilia eneo la tukio kuona kimetokea niniView attachment 1075777
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo wanaume lazima waongezeke mamaeee... watajaa balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…