Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Weka vocha ya halotel nikutumieMjadala wa nn weken video au link tukague [emoji19]
Tuma.vochaHuu utaratibu siku hizi jf umebadilika zamani ilikuwa ikiletwa habar inawekwa na picha huyo mariam mtu wa mtaani huko hajulikani mpaka sasa hatuoni picha yake
View attachment 1076232 sema kingine
. Ok vizuri, Kwa hiyo mzigua unamsapoti rafiki yako Mariam kwenye biashara yake ?Biashara kuporomoka kwa masi ni uongo. Nina rafiki yangu anakaa karibu na anapouzia biriani yake anasema Leo wateja ni wengi kuliko kawaida
Ok , ila mgongo hatoi ?Muuza nyp tu hyo muda tu
Alikuwa anawavizia mashuwa na wengineo
Ova
Ok , ila mgongo hatoi ?
Hio clip haipo na hakuna upuuzi kama huo. Bisha kwa hoja ikiwezekana iweke hapa sio kutuimbia toka jana biriran biriani.
Kaisha sema li clip la miaka mingi sana na ishu hiyo ilikwishapita, naona mnaamua kumvurugia biashara, kumbuka no body is perfect, hata wewe unayeshadadia habari hii huenda una makandokando yako ya zamani yakiwekwa hapa utachanganyikiwa. Tumuache afanye biashara
Sitetei ushenzi, napinga falsafa yako ya kufukua makaburi ili kuharibiana biashara
Hiyo clip siyo yeye kabisa ila watu wanatala kulazimisha kuwa ni yeye.Sura ingine kabisa.
Watu wanatoa laki kumla halafu ajichue???
Mkuu kuna clip nyengine amekiri ni yeye
Tumwache si ameshatubu, au we ni Mungu hukosei?
We una maneno mengi sana
Hebu weka mzigo tupate concept kamili ili tuweze kuchangia mada kwa usahihi
First of all she's is not and she will never be my friend.. Ok vizuri, Kwa hiyo mzigua unamsapoti rafiki yako Mariam kwenye biashara yake ?
Ametubu kwani wewe ndiwe Mungu Baba uliyepokea toba zake? acheni kutetea tabia za kishenzi utatangazaje biashara halali ya chakula kwa kutuonyesha makalio huku anayatingisha intentionally
Mkuu ngoja niweke clip liwalo na liwe najiripua kama ban na nipigwe tu maana hakuna namna sasa[emoji1787][emoji1787]
Upumbavu mtupu ule , hata xvideos waliikataa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwa wale waliozoea kuangalia mauchafu kule xvideo.hiyo vídeo hata huwez kuona cha ajabu utajutia bure
Ule mshuka wa kimasai unawaingiza watu chaka hadi wanadhani kulikua na zaidi ya mtu mmoja , anajikojoza mwenyewe tu pale[emoji4] [emoji4] [emoji4]Haaaaa haaaaaa Eeeeeee eeeeeeh nicheke Mariam hawa unaowalipa wakutetee utafolisika bure.Huwezi wadanganya wanaokujuaaaaa.Au hamjaona kideo.Aunadanganywa Na Picha ingine mweupe ingine nyeusi.Mi camera the same person