Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Fumanizi la manjemba labda, si umeona lilivyokaa kaaNinii hikii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekutana na mfilisti mariamu ukiwa umepombekaInawezekana niliwahi kumtongoza bar, then nimemsahau..π
Naona hadi na usingizi umeukosa Baba mchungaji. Lol.Mariam amezingua sana mkuu...βΉοΈ
Khaaa. Kwa nini sasa?Nimebubujikwa na machozi sana mkuu...πͺ
Mkwe...Atakuwa kokubanza yule mhudumu w baa.
Ila mkwe hujatulia eeh, mariam kupiga tu na sm yenyewe hujapokea ila unakufa mwenyewe,
Hao wanawake watawaletea presha
Pole sana Baba Mchungaji uzuri hasira zetu Ke huwa zinakwisha yaani haziwaagi ziiile hivyo hapo uwe na moyo wa subira tu yatakaa sawa.Imeniuma sana Mama mchungaji, na sioni poa kama hiki kiumbe nimekikwaza..πΆ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijaelewaa.Fumanizi la manjemba labda, si umeona lilivyokaa kaa