Mariam Wangwe na Jukwaa la Wahariri

Status
Not open for further replies.

Hiyo ripoti nisahihi iwekwe pending hadi hapo uchaguzi utakapoisha. Nina hakika kama ripoti itatoka sasa hivi itakuwa ndiyo silaha ya kwenda mahakamani kwa wale ambao watashindwa uchaguzi hasa CHADEMA.
 
Hiyo ripoti nisahihi iwekwe pending hadi hapo uchaguzi utakapoisha. Nina hakika kama ripoti itatoka sasa hivi itakuwa ndiyo silaha ya kwenda mahakamani kwa wale ambao watashindwa uchaguzi hasa CHADEMA.

Are you sure??????
 
Hiyo ripoti nisahihi iwekwe pending hadi hapo uchaguzi utakapoisha. Nina hakika kama ripoti itatoka sasa hivi itakuwa ndiyo silaha ya kwenda mahakamani kwa wale ambao watashindwa uchaguzi hasa CHADEMA.


Kuna mwenye ripoti kamili ya Jukwaa la Wahariri atuwekee hapa? Sio ile summary waliyotoa kwa waandishi, iwekwe ripoti kamili

PM
 
Hiyo ripoti nisahihi iwekwe pending hadi hapo uchaguzi utakapoisha. Nina hakika kama ripoti itatoka sasa hivi itakuwa ndiyo silaha ya kwenda mahakamani kwa wale ambao watashindwa uchaguzi hasa CHADEMA.

Mbona haikuwa tena silaha kwa walioshindwa ? oops ! hawakuwa Chadema lol.
 
Mbona haikuwa tena silaha kwa walioshindwa ? oops ! hawakuwa Chadema lol.

Tehe teh.. Umdhaniaye ndiye kumbe siye naona mabo yalikwenda ndivyo sivyo.


By theway, huyu Mariam ndo kina nanihi walisha mtumia na kumdamp? make siku hizi simsikii tena habari zake!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…