Maridhiano yalileta amani kiasi fulani, sasa mambo yamebadilika. Hofu na Uhasama vinatamalaki

Maridhiano yalileta amani kiasi fulani, sasa mambo yamebadilika. Hofu na Uhasama vinatamalaki

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
download-3.jpeg

images.jpeg

download-2.jpeg


Niliandika majuzi kuwa upepo wa kisiasa hausomeki kwa sasa. Wengi tulipata amani wapinzani walipoonyesha ushirikiano na chama tawala na serikali yake.

Sasa naona upepo umebadilika kabisa, uhasama na hofu za kisiasa zimerudi kwa kasi. Mzizi wa fitna umetembea na wasi wasi umeanza kutanda.

Wazee wa busara okoeni jahazi na mustakabali wa nchi yetu pendwa, Tanzania.
 
Wakatwaji kamwe hamwez simama wima kuna namna lazima mshike ukuta.
 
..maridhiano yalikuwa danganya toto tu, hakukuwa na nia ya dhati kwa Samia kuleta mabadiliko ya kweli. Hata wewe umesikia Samia akitamba kwamba sheria za kikatili bado zipo.
 
MODS mmebadili kichwa cha habari sasa mada imekosa mvuto.
Msisitizo ulikuwa nanani kaingiza mzizi wa fitna.
 
View attachment 3104868
View attachment 3104870
View attachment 3104869

Niliandika majuzi kuwa upepo wa kisiasa hausomeki kwa sasa. Wengi tulipata amani wapinzani walipoonyesha ushirikiano na chama tawala na serikali yake.

Sasa naona upepo umebadilika kabisa, uhasama na hofu za kisiasa zimerudi kwa kasi. Mzizi wa fitna umetembea na wasi wasi umeanza kutanda.

Wazee wa busara okoeni jahazi na mustakabali wa nchi yetu pendwa, Tanzania.
Kwanini ccm wanakuwa wanafique na vigeugeu kwenye hayo maridhiano?
Kwanini wanaogopa sana maandamano?
 
Back
Top Bottom