Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Niliandika majuzi kuwa upepo wa kisiasa hausomeki kwa sasa. Wengi tulipata amani wapinzani walipoonyesha ushirikiano na chama tawala na serikali yake.
Sasa naona upepo umebadilika kabisa, uhasama na hofu za kisiasa zimerudi kwa kasi. Mzizi wa fitna umetembea na wasi wasi umeanza kutanda.
Wazee wa busara okoeni jahazi na mustakabali wa nchi yetu pendwa, Tanzania.