Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Walale popote pale,ila maandamano ya wanafiki hayakufanyikaBaada ya kumaliza kuvuruga Maandamano ya Chadema sasa wanaenda kulala humu.😤
Kwanini ccm wanakuwa wanafique na vigeugeu kwenye hayo maridhiano?View attachment 3104868
View attachment 3104870
View attachment 3104869
Niliandika majuzi kuwa upepo wa kisiasa hausomeki kwa sasa. Wengi tulipata amani wapinzani walipoonyesha ushirikiano na chama tawala na serikali yake.
Sasa naona upepo umebadilika kabisa, uhasama na hofu za kisiasa zimerudi kwa kasi. Mzizi wa fitna umetembea na wasi wasi umeanza kutanda.
Wazee wa busara okoeni jahazi na mustakabali wa nchi yetu pendwa, Tanzania.