Maridhiano yamesababisha tusiambiwe akina nani walichanga pesa za kushoot royal tour

Maridhiano yamesababisha tusiambiwe akina nani walichanga pesa za kushoot royal tour

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Mkuu wa nchi baada ya kuona watanzania wanamashaka namna royal tour ilivyodhaminiwa aliahidi kuwataja hadharani waliochanga na namna michango ilivyochangwa.

Sasa hivi naona watanzania wameshasahaurishwa tena juu ya hili maana maridhiano yamepamba moto ili mifarakano itulie kwanza.

Lakini mioyoni bado watu wanajiuliza mtu binafsi atoe pesa zake mabilioni ya shilingi kushoot royal tour hivihivi bila kutegemea mrejesho?
 
Na malipo ya mabilioni kwa safari yake na delegation yake marekani.

Hizo pesa katoa nani na kwa makubaliano yapi.
 
Broo
Kanuni ni kwamba kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake upo...!!??
Ukienda kinyume na hii Formula utajitesa tuu buree
 
'…maridhiano bila ya kujua nani kakosewa na nani kakosea na alikosea nini…' hizi ndio zilikuwa hoja mujjarab za Chadema kabla ya gia ya angani
Mkuu wa nchi baada ya kuona watanzania wanamashaka namna royal tour ilivyodhaminiwa aliahidi kuwataja hadharani waliochanga na namna michango ilivyochangwa.

Sasa hivi naona watanzania wameshasahaurishwa tena juu ya hili maana maridhiano yamepamba moto ili mifarakano itulie kwanza.

Lakini mioyoni bado watu wanajiuliza mtu binafsi atoe pesa zake mabilioni ya shilingi kushoot royal tour hivihivi bila kutegemea mrejesho?
 
Back
Top Bottom