Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
🌱🌱 Chumvi ya Baharini {Ile ya Mawe) husaidia kuponya
ILA LEO WATU WANA MATUMIZI MAKUBWA NA CHUMVI ZA VIWANDANI AMBAYO IMEULIWA
VITU VINGI
- Wenye changamoto ya ngozi (eczema) na ukoma
- Chunusi
- Psoriasis
- Inasaidia follicles za nywele kukua
- Hurudisha Utumbo Uliojikunja
- Inaua Bakteria
- Inaua Fangasi aina ya Mould
- Inaondoa fangasi aitwaye candida yeast
- Husaidia ktk usagaji chakula (digestion)
- Ina Madini Mengi kama magnesium, potasiamu na kalsiamu. Madini haya ni muhimu kwa kazi nyingi za mwili, kama vile afya ya mifupa, afya ya moyo na mishipa, na kudumisha mfumo mzuri wa neva
- Kama Huwa hupati usingizi nusu saa kabla ya kulala kunywa mani ya uvuguvugu yenye chumvi ya baharini , kisha weka alarm kabisa ili ikuamushe
ILA LEO WATU WANA MATUMIZI MAKUBWA NA CHUMVI ZA VIWANDANI AMBAYO IMEULIWA