Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
-
- #81
kwaiyo kiuno mtajiNi mtu niliyekuwa namwona sana Instagram na nimemjua muda mrefu akiwa Kuna ile Team mond, team Nan miaka ya nyuma
Juma akiwa ni team mondi na alikuwa anajua kukatika mpka ikampa nafasi ya kuwa hapo alipo
hani ni hizi vikundi vya kucheza tuu hivyokwaiyo kiuno mtaji
BICHWA KOMWE -Mwanamke kushikana na mwanamke mwenzie hamnaga shida
we unafikir waxe hawasimamishi?Hata mimi kwa Lokole nisingejali, ila kushikwa na shababi kama Harmonize lazma wivu ungenishika.
Hamna kitu humowe unafikir waxe hawasimamishi?
Alishaziea kukitwautani utani mara kampa demu mimba
Nawashangaa wanaomchukulia poa Juma ana watoto watatu na huyo mdogo kampata nadhani January huu mwaka au December mwaka jana.... Ommy Dimpoz walikua wanamsema hivyo hivyo shoga kuja kushtuka kawalia sana mademu zao, wamuulize Juxwe mkeo atakuja tiwa mimba hivi hivi
Sema hao wote pia ni wanawake ko hakuna ubayaHana madhara pia mario bado hajaoa hivyo kwenye uhawara hakuna wivu
Kwani shoga hapigi showNawashangaa wanaomchukulia poa Juma ana watoto watatu na huyo mdogo kampata nadhani January huu mwaka au December mwaka jana.... Ommy Dimpoz walikua wanamsema hivyo hivyo shoga kuja kushtuka kawalia sana mademu zao, wamuulize Jux
Wanawake mnajuana wenyewe
Nawashangaa wanaomchukulia poa Juma ana watoto watatu na huyo mdogo kampata nadhani January huu mwaka au December mwaka jana.... Ommy Dimpoz walikua wanamsema hivyo hivyo shoga kuja kushtuka kawalia sana mademu zao, wamuulize Jux
Mbna unajistukia? Hujambo lakini?? [emoji23][emoji23][emoji23]ushakuja na mambo yako ?
eheee leo una lipi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nawashangaa wanaomchukulia poa Juma ana watoto watatu na huyo mdogo kampata nadhani January huu mwaka au December mwaka jana.... Ommy Dimpoz walikua wanamsema hivyo hivyo shoga kuja kushtuka kawalia sana mademu zao, wamuulize Jux
Japo sijaelewa SALE ni nini but...Lokole ni saww na binti tu hana madhara
Japo sijaelewa SALE ni nini but...Lokole ni saww na binti tu hana madhara
uje ujichanganye😂😂😂mdharau mwibaJapo sijaelewa SALE ni nini but...Lokole ni saww na binti tu hana madhara