Marioo asema nyimbo zake zote ni hit. Je, ni kweli ana hit nyingi kuliko Diamond, Harmonize, Rayvany, au Mbosso?

Marioo asema nyimbo zake zote ni hit. Je, ni kweli ana hit nyingi kuliko Diamond, Harmonize, Rayvany, au Mbosso?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Asalaaam wanajamvini.

Kazi yangu moja tu kuanzisha mada kutokana na wanayoongea wengi wakiwamo wasanii.

Kuna msanii mmoja mkwe wake Majani anafahamika kama Mario, amesema nyimbo zake zote alizotoa ni hit, na ni kweli sipingani na Hilo, hata Maromboso pia nyimbo zake alizotoa official zote ni hit.

Sasa discussion ya Leo napinda kidogo, nataka kujua je katika bongo fleva nchi hii ni msanii Gani mwenye hit nyingi zaidi Toka mziki tumeanza.

Sasa najua Diamond ndio anaongoza Kwa hit song, ila baada ya hapo je ni kina nani wanafuatia.

Kuna mtu anaitwa prof jay, jamaa ana hit mingi sana, mangwea jamaa ana hit mingi mno. Sasa huyu Marioo je ni namba moja Kwa hit song au amezidiwa hata na marombosso

Hili ni jukwaa, ila naamini Diamond anaongoza, may be wapili washindane muwataje
 
Hivi kwa nini hawa wasanii wenu wakubwawakubwa wana sura mbovu kiasi hiko? Kama huyo sijui Maria hata Gamondi na huyo Mboo~so ndo kabisa!!

Sauti nzuri ila sura hata Mungu anajiuliza wamezitoa wapi sura hizo
 
Hivi kwa nini hawa wasanii wenu wakubwawakubwa wana sura mbovu kiasi hiko? Kama huyo sijui Maria hata Gamondi na huyo Mboo~so ndo kabisa!!

Sauti nzuri ila sura hata Mungu anajiuliza wamezitoa wapi sura hizo
Sindo amewaumba
 
Asalaaam wanajamvini.

Kazi yangu moja tu kuanzisha mada kutokana na wanayoongea wengi wakiwamo wasanii.

Kuna msanii mmoja mkwe wake Majani anafahamika kama Mario, amesema nyimbo zake zote alizotoa ni hit, na ni kweli sipingani na Hilo, hata Maromboso pia nyimbo zake alizotoa official zote ni hit.

Sasa discussion ya Leo napinda kidogo, nataka kujua je katika bongo fleva nchi hii ni msanii Gani mwenye hit nyingi zaidi Toka mziki tumeanza.

Sasa najua Diamond ndio anaongoza Kwa hit song, ila baada ya hapo je ni kina nani wanafuatia.

Kuna mtu anaitwa prof jay, jamaa ana hit mingi sana, mangwea jamaa ana hit mingi mno. Sasa huyu Marioo je ni namba moja Kwa hit song au amezidiwa hata na marombosso

Hili ni jukwaa, ila naamini Diamond anaongoza, may be wapili washindane muwataje

Aache kuendekeza mapenzi afanye kazi ,dansa wake "chino mwanawane" (in dotto magari's voice) anapush Range Autobiography WANA MAN1 ,yeye busy na paula kutafuta kiki.

Yupo Mbweni Mpiji mbele ya CHuo CHa Uhasibu kwenye Mansion.
 
Back
Top Bottom