Huyu mwana mdogo kwa upande wangu namwona kama ndo msanii mwenye kazi nzuri zaidi kibongobongo kwa sasa..
√ Uandishi ulioenda shule
√Melody
√Clean lyrics
Everything top notch
Sema music industry ya bongo bado sana na imelalia upande mmoja ambapo huo upande ni lazima uchanganye muziki na showbiz kibao ili uende mbali zaidi..
Kazi zake ninazo zikubali
√Ifunanya
√Yale
√Dar kugumu
√Inatosha
√Raha
Hopefully ataendelea kukaza na kupata rizki anayostahili kutokana na kipaji chake
jamaa anajua sana kibongo bongo akaze tu afikie alipo harmonize.Huyu mwana mdogo kwa upande wangu namwona kama ndo msanii mwenye kazi nzuri zaidi kibongobongo kwa sasa..
√ Uandishi ulioenda shule
√Melody
√Clean lyrics
Everything top notch
Sema music industry ya bongo bado sana na imelalia upande mmoja ambapo huo upande ni lazima uchanganye muziki na showbiz kibao ili uende mbali zaidi..
Kazi zake ninazo zikubali
√Ifunanya
√Yale
√Dar kugumu
√Inatosha
√Raha
Hopefully ataendelea kukaza na kupata rizki anayostahili kutokana na kipaji chake
Hawa madogo wanajua kinoma,ila mafanikio yao sio proportional na kazi zaoMarioo anajua sana...
Manyaku
Ifunanya
Inatosha
Raha
Hizi naweza zisikiliza siku nzima..
Kuna dogo anaitwa Foby naye yuko vizuri sana..
Si lazima
Ila
Niokoe
Kitanda
Huyu mwana mdogo kwa upande wangu namwona kama ndo msanii mwenye kazi nzuri zaidi kibongobongo kwa sasa..
√ Uandishi ulioenda shule
√Melody
√Clean lyrics
Everything top notch
Sema music industry ya bongo bado sana na imelalia upande mmoja ambapo huo upande ni lazima uchanganye muziki na showbiz kibao ili uende mbali zaidi..
Kazi zake ninazo zikubali
√Ifunanya
√Yale
√Dar kugumu
√Inatosha
√Raha
Hopefully ataendelea kukaza na kupata rizki anayostahili kutokana na kipaji chake
foby kuna nyingine katoa mpya mkuu inaitwa twendeMarioo anajua sana...
Manyaku
Ifunanya
Inatosha
Raha
Hizi naweza zisikiliza siku nzima..
Kuna dogo anaitwa Foby naye yuko vizuri sana..
Si lazima
Ila
Niokoe
Kitanda
hii ni funga kaziHumo ndani kamtupia barnaba..bonge la ngoma..