Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Huyu bwana mdogo kwa upande wangu namwona kama ndo msanii mwenye kazi nzuri zaidi kibongobongo kwa sasa..
√ Uandishi ulioenda shule
√Melody
√Clean lyrics
Everything top notch
Sema music industry ya bongo bado sana na imelalia upande mmoja ambapo huo upande ni lazima uchanganye muziki na showbiz kibao ili uende mbali zaidi..
Kazi zake ninazo zikubali
√Ifunanya
√Yale
√Dar kugumu
√Inatosha
√Raha
Hopefully ataendelea kukaza na kupata rizki anayostahili kutokana na kipaji chake
√ Uandishi ulioenda shule
√Melody
√Clean lyrics
Everything top notch
Sema music industry ya bongo bado sana na imelalia upande mmoja ambapo huo upande ni lazima uchanganye muziki na showbiz kibao ili uende mbali zaidi..
Kazi zake ninazo zikubali
√Ifunanya
√Yale
√Dar kugumu
√Inatosha
√Raha
Hopefully ataendelea kukaza na kupata rizki anayostahili kutokana na kipaji chake