University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Wimbo ni abah ila mtunzi si ni yeye yani walichokifanya ni kama dj Khalid na team yake ile ila huwezi sema wimbo sio wa marioo wakati yy ndo mtunzi pale abah atapata mauzo tu ya ile nyimboNarudia tena Wimbo wa chibonge ni wakwake Abbah na siyo Marioo.
Marioo na Hastone wameshirikishwa kwenye wimbo wa chibonge.
Mimi nimemkubali Marioo wimbo wake wa inatodha.
Halafu style za uimbaji naona kama zinafanana na Jay Melody.
Kila nabii na zama zake kwa wakati huu wanaendana na kizazi chaoNakuunga mkono kwa 10000%. Mtu serious hawezi sikiliza hizi bongo fleva za miaka hii. Bongo fleva waliondoka nayo wakina Ngwair. RIP soldier.
Sawa mkuuKila nabii na zama zake kwa wakati huu wanaendana na kizazi chao
Inaitwa NABEMBEADude you know what you are talking very impressive!Namfaham Dogo personally kabla hajatoka yupo vizuri anaandika zaid Ya Sana.Akipata management inayojua atafika mbali.Nimesahau kuna ngoma alimtungia Dogo Ditto.
Inaitwa DAR KUGUMUKuna nyimbo yake naitafuta sijajua inaitwaje nanukuu ''ila sio mbaya na miguu mitatu nishanunu na nyumba ya sala sala nishapau beba vilago vyako nakungoja'' hii nyimbo inaitwaje
Huyu bwana mdogo kwa upande wangu namwona kama ndo msanii mwenye kazi nzuri zaidi kibongobongo kwa sasa..
√ Uandishi ulioenda shule
√Melody
√Clean lyrics
Everything top notch
Sema music industry ya bongo bado sana na imelalia upande mmoja ambapo huo upande ni lazima uchanganye muziki na showbiz kibao ili uende mbali zaidi..
Kazi zake ninazo zikubali
√Ifunanya
√Yale
√Dar kugumu
√Inatosha
√Raha
Hopefully ataendelea kukaza na kupata rizki anayostahili kutokana na kipaji chake