University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Narudia tena Wimbo wa chibonge ni wakwake Abbah na siyo Marioo.
Marioo na Hastone wameshirikishwa kwenye wimbo wa chibonge.
Mimi nimemkubali Marioo wimbo wake wa inatodha.
Halafu style za uimbaji naona kama zinafanana na Jay Melody.
Marioo na Hastone wameshirikishwa kwenye wimbo wa chibonge.
Mimi nimemkubali Marioo wimbo wake wa inatodha.
Halafu style za uimbaji naona kama zinafanana na Jay Melody.