Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha nimfatilie pengine atanishawishiMkuu mimi mwenyewe nilikua najua jombaa ana uwezo mkubwa wa kutunga maana kawafanya gigy money kuwa na hit song ya papa wakati kipaji sifuri, sikiliza mistari ya chibonge na concept nzima ya wimbo utajua jamaa is magic mzee.
Mimi kiukweli wimbo wake INATOSHA ndio ulinishtua na kaimba ile bongo flava yenyewe. Kasikilize beats, flow ya melodies na maneno.
Kiukweli jamaa ni talented writer, sauti sio kali sana ila inatosha kisanaa, melodies zake na nyimbo anazoimba ni unique na hana video mbovu. Yupo vizuri kiukweli
Wimbo wa Chibonge Marioo kaimba Kwa level ya juu Sana, kaflow na beat vizur Sana, na ndo man umekuwa hitsong , kitu kizur huwa kinajiuza tu mbali na vikwazo vilivyopo...akitoa wimbo mzur lazima utatambaa tu....nilikuwa nimempa max 100 kwenye Chibonge ila niliposikia tena wimbo ni wa abbah ...daaah so sad, katika nyimbo alizoimba bas Chibonge ameimba to the maximum nimempigia salute .... excellent performanceMkuu mimi mwenyewe nilikua najua jombaa ana uwezo mkubwa wa kutunga maana kawafanya gigy money kuwa na hit song ya papa wakati kipaji sifuri, sikiliza mistari ya chibonge na concept nzima ya wimbo utajua jamaa is magic mzee.
Mimi kiukweli wimbo wake INATOSHA ndio ulinishtua na kaimba ile bongo flava yenyewe. Kasikilize beats, flow ya melodies na maneno.
Kiukweli jamaa ni talented writer, sauti sio kali sana ila inatosha kisanaa, melodies zake na nyimbo anazoimba ni unique na hana video mbovu. Yupo vizuri kiukweli
nmeenda youtube hapaWakawaida saaaaaana..
Wimbo wa Chibonge Marioo kaimba Kwa level ya juu Sana, kaflow na beat vizur Sana, na ndo man umekuwa hitsong , kitu kizur huwa kinajiuza tu mbali na vikwazo vilivyopo...akitoa wimbo mzur lazima utatambaa tu....nilikuwa nimempa max 100 kwenye Chibonge ila niliposikia tena wimbo ni wa abbah ...daaah so sad, katika nyimbo alizoimba bas Chibonge ameimba to the maximum nimempigia salute .... excellent performance
Unamchokoza soudy BrownWe jamaa sijui upo vipi ikiguswa tu clouds unatoaga povu au we ni mfanyakazi wa clouds
Nakuunga mkono kwa 10000%. Mtu serious hawezi sikiliza hizi bongo fleva za miaka hii. Bongo fleva waliondoka nayo wakina Ngwair. RIP soldier.Hivi bado mnasikiliza ngoma za bongo tu??? kwa wasanii wapi???
Wasanii na mziki ulitoka kwa majani, ukapokelewa na dunga, hermy b na pacho pamoja na bob manecky baada ya studio kuanza kuota kama Uyoga na quality control kuwa ngumu basi hapa ndio tulipofikia nyimbo ni chibonge, inama, kanyaga, tetema, doko, yani utumbo mtupu.