Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Nimepata wasaa leo nikaskiliza album mpya ya barnaba classic. Ni album nzuri kwakweli lakini nilivyofika kwny track aliyomshirisha Marioo, kuna kitu tofauti kabisa nikagundua kwny ngoma hiyo. Yule kijana sasa hivi ni kana kwamba yupo ndani ya beat anaflow nalo kama mawimbi kwny bahari ,anafanya uone mziki kwny taswira nyingine kabisa.
Nikalinganisha na ngoma zake kadhaa nilizoweza zisikiliza ndani ya mwaka huu, nikasema kweli tumewakariri wakina Mondi, Kiba, Konde na wengine wengi ila bila shaka huyu kijana ana kipaji cha kipekee mno, ameweza kuupeleka mziki wake level nyingine kabisa.
Wadau wa muziki mzuri tu ndo tukutane kwny thread hii, sio wale wa kuja kuanza kuniita mi chawa. Appreciate good things and people will appreciate yours one day.
Nikalinganisha na ngoma zake kadhaa nilizoweza zisikiliza ndani ya mwaka huu, nikasema kweli tumewakariri wakina Mondi, Kiba, Konde na wengine wengi ila bila shaka huyu kijana ana kipaji cha kipekee mno, ameweza kuupeleka mziki wake level nyingine kabisa.
Wadau wa muziki mzuri tu ndo tukutane kwny thread hii, sio wale wa kuja kuanza kuniita mi chawa. Appreciate good things and people will appreciate yours one day.