Mkui gari namba A unataka tununue kwa shs ngap??Kweli vyuma vimekaza.
Gari inauzwa milioni mbili na bado watu wanaona bado ni ghali.
Zishapitwa na wakati hizo! Hamna gari hapoKweli vyuma vimekaza.
Gari inauzwa milioni mbili na bado watu wanaona bado ni ghali.
Huwa watu wanasema Old is gold, sasa vipi hii chuma ya kizamani iwe so cheap?
Namba pekee bado hainibabaishi sana, kibongo bongo kuna factors zingine nyingi zinahusika kupima afya ya gari. Kwa mfano mileage, mazingira iliyotumika, brand, body, engine etc.Mkui gari namba A unataka tununue kwa shs ngap??