Car4Sale Mark 11 grande for sale

Car4Sale Mark 11 grande for sale

Adacha

Member
Joined
Feb 14, 2013
Posts
61
Reaction score
63
Mwaka 1998
Cc 1988
Full Ac
Engine type 1G-kavuu haijaguswa

Bei 2.3m
20200329_155005.jpg
20200329_154929.jpg
20200329_154900.jpg
20200329_154914.jpg
20200329_155224.jpg
20200329_155302.jpg
20200329_155311.jpg
20200329_155319.jpg
20200329_155443.jpg
20200329_160217.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli vyuma vimekaza.
Gari inauzwa milioni mbili na bado watu wanaona bado ni ghali.
 
Mkui gari namba A unataka tununue kwa shs ngap??
Namba pekee bado hainibabaishi sana, kibongo bongo kuna factors zingine nyingi zinahusika kupima afya ya gari. Kwa mfano mileage, mazingira iliyotumika, brand, body, engine etc.

Zipo gari ni namba D lakini zimechoka kupita maelezo.
 
Back
Top Bottom