SOLD: Mark 2 grand kali sana inauzwa

SOLD: Mark 2 grand kali sana inauzwa

Status
Not open for further replies.

antipas

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2011
Posts
411
Reaction score
417
Kwa bei chee ya milion 3 na nusu tu hii ni fasta sale maongez yapo piga 0652472486 ni 1g kavu inayopendwa na wateja
1478377312345.jpg
 
Mkuu ukifungua hii mashine ukauza kifaa kimojamoja huwezi kupata pesa zaidi ya hiyo??
 
*Baada ya kufanya vizur sana kwenye ulimwengu wa simu tumehamia kwenye automobile tunatisha na bei zetu ni sawa na bure*
Mitshubish gdi safi inatembea safi 3.5milion pasho laki na nusu
Raum new model kinanda sana 8
Mitshubish lancer 3 milion
Starlet 3 milion
Corrola 110 4.6
Noah old model namba c 8.5
Sienta kal 8m5
Toyota coaster 15 milion
Nissan bluebird 5 milion
Hizo ni update za sasa kama unanteja posho tunagawana nus kwa nusu password sinaga call me 0652472486 for picture inbox me
 
*Baada ya kufanya vizur sana kwenye ulimwengu wa simu tumehamia kwenye automobile tunatisha na bei zetu ni sawa na bure*
Mitshubish gdi safi inatembea safi 3.5milion pasho laki na nusu
Raum new model kinanda sana 8
Mitshubish lancer 3 milion
Starlet 3 milion
Corrola 110 4.6
Noah old model namba c 8.5
Sienta kal 8m5
Toyota coaster 15 milion
Nissan bluebird 5 milion
Hizo ni update za sasa kama unanteja posho tunagawana nus kwa nusu password sinaga call me 0652472486 for picture inbox me

Wewe Antipas Mushi ni muongo muongo sana.
Kuna kipindi ulitangaza kuuza gari humu nikaacha shughuli zangu kuja kuliona ukanizungusha sana na gari sikufanikiwa kuliona.

Nina hofu kubwa sana kuwa wewe ni Tapeli au Dalali tu usiye na mamlaka na hayo magari unayotangaza humu...!

Ninawashauri wateja wako wote wafanye biashara na wewe kwa tahadhari kubwa sana.
 
Nimeuza magari mengi sana huku bro
 
Na ni naaminika sana kaka hujafanya haki kuniutack hivyo
 
Na hii grand nimeiuza humu nitamuita jamaa akuambie
 
Wewe Antipas Mushi ni muongo muongo sana.
Kuna kipindi ulitangaza kuuza gari humu nikaacha shughuli zangu kuja kuliona ukanizungusha sana na gari sikufanikiwa kuliona.

Nina hofu kubwa sana kuwa wewe ni Tapeli au Dalali tu usiye na mamlaka na hayo magari unayotangaza humu...!

Ninawashauri wateja wako wote wafanye biashara na wewe kwa tahadhari kubwa sana.
Asante saana kwa kumchana
Hii ndio tunakata kwa wana JF,wale wasanii na Matapeli na wezi woote wajulikane humu
Mchane kila uzi mpaka awe mpoleeee
Maisha ya Ujanja ujanjaaa
 
*Baada ya kufanya vizur sana kwenye ulimwengu wa simu tumehamia kwenye automobile tunatisha na bei zetu ni sawa na bure*
Mitshubish gdi safi inatembea safi 3.5milion pasho laki na nusu
Raum new model kinanda sana 8
Mitshubish lancer 3 milion
Starlet 3 milion
Corrola 110 4.6
Noah old model namba c 8.5
Sienta kal 8m5
Toyota coaster 15 milion
Nissan bluebird 5 milion
Hizo ni update za sasa kama unanteja posho tunagawana nus kwa nusu password sinaga call me 0652472486 for picture inbox me
huna namba ya watsap nahitaji hiyo starlet
 
Wewe Antipas Mushi ni muongo muongo sana.
Kuna kipindi ulitangaza kuuza gari humu nikaacha shughuli zangu kuja kuliona ukanizungusha sana na gari sikufanikiwa kuliona.

Nina hofu kubwa sana kuwa wewe ni Tapeli au Dalali tu usiye na mamlaka na hayo magari unayotangaza humu...!

Ninawashauri wateja wako wote wafanye biashara na wewe kwa tahadhari kubwa sana.
Ahsante kwa angalizo zuri kuhusu Antipas.....namie nilishapata taarifa full kuhusu huyu jamaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom