- Thread starter
- #21
Mkuu achana nao wameishiwa hawani nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu achana nao wameishiwa hawani nani?
antipas Fanya kama treni ya Mwakyembe na mabasi ya mwendokasi wapandishe bure hayo magari unayoyauza huenda ukaaminikaBila ushahid ni mbaya sanaaa
Wakuu biashara ni ya ukweli, nimemalizana na mheshimiwa gari linaelekea songea kesho lipo vizuri sanaWewe Antipas Mushi ni muongo muongo sana.
Kuna kipindi ulitangaza kuuza gari humu nikaacha shughuli zangu kuja kuliona ukanizungusha sana na gari sikufanikiwa kuliona.
Nina hofu kubwa sana kuwa wewe ni Tapeli au Dalali tu usiye na mamlaka na hayo magari unayotangaza humu...!
Ninawashauri wateja wako wote wafanye biashara na wewe kwa tahadhari kubwa sana.
mkuu iyo stalet naweza hona picha*Baada ya kufanya vizur sana kwenye ulimwengu wa simu tumehamia kwenye automobile tunatisha na bei zetu ni sawa na bure*
Mitshubish gdi safi inatembea safi 3.5milion pasho laki na nusu
Raum new model kinanda sana 8
Mitshubish lancer 3 milion
Starlet 3 milion
Corrola 110 4.6
Noah old model namba c 8.5
Sienta kal 8m5
Toyota coaster 15 milion
Nissan bluebird 5 milion
Hizo ni update za sasa kama unanteja posho tunagawana nus kwa nusu password sinaga call me 0652472486 for picture inbox me
umesema bei gani?Kwa bei chee ya milion 3 na nusu tu hii ni fasta sale maongez yapo piga 0652472486 ni 1g kavu inayopendwa na watejaView attachment 429801
Imeuzwa tayrumesema bei gani?
Mziki pia ni moja ya vitu muhimu ndani ya gariAu utasikia Madalali wanakwambia Ina Mziki mkali utadhani unanunua gari ili usikilize Mziki![emoji3][emoji3], badala ya kumwambia Mteka features Pertinent na ubora wa gari husika!