SOLD: Mark 2 grand kali sana inauzwa

SOLD: Mark 2 grand kali sana inauzwa

Status
Not open for further replies.
Atakuja comment humu me sijui inakuaje how humanity is ahhhh
 
Wewe Antipas Mushi ni muongo muongo sana.
Kuna kipindi ulitangaza kuuza gari humu nikaacha shughuli zangu kuja kuliona ukanizungusha sana na gari sikufanikiwa kuliona.

Nina hofu kubwa sana kuwa wewe ni Tapeli au Dalali tu usiye na mamlaka na hayo magari unayotangaza humu...!

Ninawashauri wateja wako wote wafanye biashara na wewe kwa tahadhari kubwa sana.
Wakuu biashara ni ya ukweli, nimemalizana na mheshimiwa gari linaelekea songea kesho lipo vizuri sana
 
1478540813937.png
custumer satisfication
 
*Baada ya kufanya vizur sana kwenye ulimwengu wa simu tumehamia kwenye automobile tunatisha na bei zetu ni sawa na bure*
Mitshubish gdi safi inatembea safi 3.5milion pasho laki na nusu
Raum new model kinanda sana 8
Mitshubish lancer 3 milion
Starlet 3 milion
Corrola 110 4.6
Noah old model namba c 8.5
Sienta kal 8m5
Toyota coaster 15 milion
Nissan bluebird 5 milion
Hizo ni update za sasa kama unanteja posho tunagawana nus kwa nusu password sinaga call me 0652472486 for picture inbox me
mkuu iyo stalet naweza hona picha
 
*Gari zilizopo kali sana bei kitonga sana*
Mitshubishi gdi 3 milion
Sienta kali sana 8.5
Corrola 110 4.7
Spacio old model 4.2 zipo 2
Raum new model 8.3 natoa laki 4
Call 0652472486
 
Au utasikia Madalali wanakwambia Ina Mziki mkali utadhani unanunua gari ili usikilize Mziki![emoji3][emoji3], badala ya kumwambia Mteka features Pertinent na ubora wa gari husika!
Mziki pia ni moja ya vitu muhimu ndani ya gari
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom