Ma sabufa ni kelele tu weka android tuWajuzi wa mambo,
Naomba ushauri kama inafaa kufunga subwoofer kwenye mark x au niweke adroid tu speaker zake zitatosha? Naomba uzoefu
Wajuzi wa mambo,
Naomba ushauri kama inafaa kufunga subwoofer kwenye mark x au niweke adroid tu speaker zake zitatosha? Naomba uzoefu
TWIN CAM enzi hizo πππ hilo dude ilikuwa tishioCressida ilikuwa tamu sana zilikuwepo hadi za 2.8LView attachment 2290883
Wakati najifunza kazi yangu ninayoifanya sasa (1999) hii tulikuwa tunaiita Cresida Box.Cressida ilikuwa tamu sana zilikuwepo hadi za 2.8LView attachment 2290883
Mkuu vp kwa safari za town inaenda km ngapi kwa ltre?Mi ninayo toka mwaka 2010 ina engine Beam2000 "35th anniversary" namba B.. very comfortable car, mafuta kwa safari ndefu ndio utaenjoi sana yaan full kipupwe inaenda 12-13 KM/ L.
Dom-Dar lita35 na nabaki na chenchi
Muungurumo wa gari ukiwa ndani ndio dah!! acha kabisa, kila nikifikiria kuiuza najikuta naahirisha
6-8kmMkuu vp kwa safari za town inaenda km ngapi kwa ltre?