Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu hii muvi ni Zaid ya miaka 20 sijawai kuangalia....Yale marungu yenye shoti sio pw
Jamaa alikua yupo vzr sanaa....Hii muvi ni Kali ila hata only the strong ni Kali pia ( paranawe), pia DNA
Hiyo movie ni hiiJamaa alikua yupo vzr sanaa....
Unakumbuka Ile movie ya yule jamaa alikua na vidole viwili vya chumaa...
Akawatafuta
Mabigwa wotee wa ndondi akawaua...
Utakua ulikua mdau sana wa muvi enzi izo...Hiyo movie ni hiiView attachment 2583333
Huyu jamaa nilimkubali kweny movie inaitwa "Cold Harvest" ni mkali hatari ile kakaake aliuliwa kwa ule mchezo wa kupewa risasi uweke kweny bastole ukiwahi unamshoot mwenzioHiyo movie ni hiiView attachment 2583333
Sana tu, enzi za Lufufu mkandala tulikuwa tunaruka nazo kwa sanaUtakua ulikua mdau sana wa muvi enzi izo...
Yule Rasta kweny fingers za chuma alikuwa kazi zake kuua wale machampion wote wa boxingGary Daniel,
Bloodmoon🤓🤓
Russian Roulette.Huyu jamaa nilimkubali kweny movie inaitwa "Cold Harvest" ni mkali hatari ile kakaake aliuliwa kwa ule mchezo wa kupewa risasi uweke kweny bastole ukiwahi unamshoot mwenzio
je, ulingundua hii movie haina mchana ?Cold Harvest
Russian Roulette.