Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile movie aiseee....MOVIE YA HUYU MWAMBA NINAYOIKUBALI SANA NI ILE CRYING FREEMAN
Pale mwishoni kwenye kuwahiana kupigana risasi kati ya Gary na yule kubwa la maadui 🤔je, ulingundua hii movie haina mchana ?
ila movie tamu sana
Moja ya movies zangu bora za kivita hii mniga analiwa na mamba
na pale mwanzoni pia ni Gary ( kaweka miwani aki cast kama mdogo mtu 😅 )Pale mwishoni kwenye kuwahiana kupigana risasi kati ya Gary na yule kubwa la maadui 🤔
Hahaha bonge la movie daah 'low budget movie' lakini bonge la moviena pale mwanzoni pia ni Gary ( kaweka miwani aki cast kama mdogo mtu 😅 )
wazee wamebana bajeti ku shoot movie ndani ya masaa 12
Hii muvi niliiangalia kwa kuirudia hadi mkanda ukanyonya nikaukata nikaunga na gundi..huyu chalii kuna muvi ingine sikumbuki jina alikuwa na BILL BLANKS.nayo ilikuwa na mkono hataree
yule adui naye anachapa kinoma , kubali sana mkono kule mwishoniHahaha bonge la movie daah 'low budget movie' lakini bonge la movie
Mwishoni walikichafua sana paleyule adui naye anachapa kinoma , kubali sana mkono kule mwishoni
Yaan Moja ya Kaz Bora kabisa kufanyiwa na mark..Huyu jamaa nilimkubali kweny movie inaitwa "Cold Harvest" ni mkali hatari ile kakaake aliuliwa kwa ule mchezo wa kupewa risasi uweke kweny bastole ukiwahi unamshoot mwenzio
google imeniambia ni hiiMSAADA.
Dah, leo itakua nimetua kwenye eneo sahihi. Kuna movie (nahisi ni ya miaka ya 80/90) naitafuta jina lake na sikuwahi kuiona yote zaidi ya vipande vidogo vilivyoonyesha wana wakicheza american football ila ghafla mwamba mmoja aliekuwa mchezaji akatoa pistol na kuanza kushoot wenzake.
NB: niliona mablack wengi kwenye hivyo vipande kadhaa nilivyotizama.
Rasta mshamba mshamba haahaa....maadili sana yule mwamba....Umekumbusha hii movie nimeiona kitambo Sana... Karibia Miaka 20 iliyopita.... Ila kuna kipande kile rasta aliniangusha wakati anaitwa na yule mwanamke pale club ili akale mbususu[emoji23][emoji23][emoji23]... Yule demu alimkubali Sana Yule rasta....
HUYU MWAMBA WA KIVITA....I need some pillow, i need some pillow
- The Delta Force (Chuck Norris)