Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #121
TrueDrive ya kitambo na haichoshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TrueDrive ya kitambo na haichoshi
Alikamua sanaa 😀Mshikaji nilianza mpenda kwneye hii movie
Commando SuzyKitambo sana, Kipindi hicho kibanda umiza ilikua sh 20.
Mwanadada maarufu kwenye movies alikua Cynthia Rothrock.
Kuna dogo alikua anaiba chuma CHAKAVU kunasiku akakamatwa😀Tobi na Maliki😅😅 kitambo sana Mia Mia zmeenda sana enzi izo Wakishua hawawezi elewa
🔥🔥
YesThe blood moon kitambo sana
Alikamua vilivyoMovie ya kitambo Sana hiyo ila ilikuwa ya Moto sana
Van DammeWakali wa mkono walikuwa
Michael Dudikoff
Steve James
Bill Blanks
Jalal Merhi
Cynthia Rothrock
Chuck Norris
Steven Seagal
.
.
.
.
YesMuvi nyingi za huyu jamaa ni kali sana. Kuna ingine ya Serbian scars, nayo ni poa sana!
Mkono mwanzo mwishoKwenye only the strong kuna mwamba anaitwa soverio; sio poa
Walikua balaa kama TMk wanaume_kamuaKipindi kile move zote zilikuwa moto
Ukienda India wanakicahafua ma Amrishkapool, China huko ndo usiseme taikwando , ukija state ***** Vandame , Chuknoris , Anord, Rambo , kipindi kile hata shule hatuendi tunaishia kwenye vibanda umiza
Nazani unasema muvi ya Gary Daniel , inaitwa Blood money,Jamaa alikua yupo vzr sanaa....
Unakumbuka Ile movie ya yule jamaa alikua na vidole viwili vya chumaa...
Akawatafuta
Mabigwa wotee wa ndondi akawaua...
Hii ndo Ile jamaa alivamiwa mwanzoni , tulikuwa tunaita Michael kapensiView attachment 2583413
KOMANDO KIPENSI/KICHUPI
Terminator 2 , judgement day ndo terminator Kali ya mda wote[emoji1787]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji28]
kuna ile T2 ( Terminator 2) aka Anodi UjiUji
Pia walikuwepo wengine Cynthia Khan, yupo kwenye tiger cage 1, in the line of duty, hii muvi yupo na Mr IP man ,Donnie yenKitambo sana, Kipindi hicho kibanda umiza ilikua sh 20.
Mwanadada maarufu kwenye movies alikua Cynthia Rothrock.
Jet li ni miongoni mwa mastaa ambao siwezi wasahau, na Huwa sichoki kuangalia muvi zake , hii inaitwa Romeo must Die, pia Iko nyingine inaitwa cradle to the grave mkubwa wa maadai ni Mark DagascosKuna ile ya Jet Lee kacheza na mtoto Aaliyah nimesahau jina