Mark Dacascos mkali wa muvi ya Drive

Mark Dacascos mkali wa muvi ya Drive

Terminator 2 , judgement day ndo terminator Kali ya mda wote
Robert Patrick ni balaa [emoji23]
download%20(3).jpg
 
Kuna ile mzee anachomwa moto mbele ya mtoto wake kumbe kajifukia chini. Adui anapigwa risasi ya jicho heka heka mwanzo mwisho[emoji1787][emoji1787]. Kwanza kuna muda starring ni kama alishonwa usoni bila ganzi yaani movie full visanga tu.
Mtoto ndo anachomwa moto mbele ya dingi ake, kumbe kile kitoto kilikuwa kijanja kikajifukia chini, Dah Those back days
 
Kipindi hiko sisi wa uswazi hatujui title za muvi tunaita tunavoweza
1 Komando kipensi
2 Rambo
3 deta fosi
3 Anodi na jini
4 paranawe
5 sale poo
6 no titi no salenda
Kuna movie ya Solo pia mshikaji ana Bonge Paraaa
 
Nyie Zile movie za wavetnam na wamarekani nimesahau majina..wavetnam wakija wanakuja kama nyukii hawaishi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1]mkali lufufu hapo Tena kwenye Moja na mbili ilikua balaaa
 
😅😅 tunawasifu ila hamna kitu, mbona nawakazia sana kazi zao.. alafu zinanielewa kuliko wao , tena kuna mmoja alikuwa anasafiri kuifata mbaaali kabisa..
Hahaa🤣🤣🤣 wewe jamaa una hatari sana unamkaza mke wa mjeda mpaka anasafiri kuifuata de libolo. Hivi hawa jama huwa wanafeligi wapi maana wanagongewa sana aisee 🤔
 
Back
Top Bottom