Amaizing Mimi
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 489
- 1,102
Ile inaitwa Heroes shed no tearsHahahahah ingekuwa jau jau eeh 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile inaitwa Heroes shed no tearsHahahahah ingekuwa jau jau eeh 🤣🤣🤣
Katika movie ambayo pia ina mkong'oto ni hii kitu.dahwe jamaa umenikumbusha mbali sana.Moto mwingine huu hapa
View attachment 2585182
Ila movie za Steven seagal sometimes hua Ni changamoto Sana, mwamba hua hapigwi ye anabonda tu.
Hard to kill naikubali.
Movie zake za miaka hii Ni za kijinga,low budget films na ujinga mwingi.
Ni balaaa nzito humo ndaniHiyo inaitwa Van Damme ya Msalabani.
Movie yake ya Striker ilikua Ni moja ya movie niliyoipenda Sana aisee.Mnamkumbuka Frank Zagarino?
Hii movie siijui,lkn kipindi hicho nadhani channel 5 nakumbuka walikua wanaonyesha movie siku ya J2 usiku.Wakali kuna movie moja ya watoto wa mitaani wapo ktk kituo kinasimamiwa na masista. Wanajaribu kutoroka mara nyingi kwa sababu ya mateso wanashindwa. Mwishoni kabisaa wanafanikiwa.
Hii movie ilioneshwaga Channel 5 kipindi inaanza Anza kama sikosei. Jina lake sijui inaitwaje ile?
Napendelea hizi kuliko huu utopolo wa Netflix na AmazonYaap, teknolojia ilikuwa hafifu, computer na TV zile za migongo mikubwa, No laptops, mobile phone hakuna zaidi ya radio call
Pia picture hazikuwa clear sana inaeleweka na movie karibu zote zilikuwa na Idea zinazofanana katika kuanza na zinavyoisha...
Starring anaua majambazi wote kwa bunduki na mabom then anamuua Mkuu wao kwa mkono then Polisi ndio wanakuja na magari yao na ving'ora wakati Mwamba ashawamaliza Majambazi yote [emoji39]
Inawezekana usemacho Ni sahihi kabisa mkuu.Hapo hautafuti movie...unatafuta memories pal
Blood on the moon ya Gary Daniel bonge moja la movieJamaa alikua yupo vzr sanaa....
Unakumbuka Ile movie ya yule jamaa alikua na vidole viwili vya chumaa...
Akawatafuta
Mabigwa wotee wa ndondi akawaua...
Aisee Bora stunts za Jackie Chan hua Ni reasonable kuliko za Jet li(huyu ana uongo uliopitiza aisee)Tatizo la jack chain uongo ulikua mwingi
Ila kwenye muvi mwishoni huweka all the BEHIND THE SCENE
Terminator hizo(1 to 3) ndio nzuri,zilizofuata baada ya hapo Ni ujinga uliopitiza mzee.Hiyo ni Predator 1987
The Terminator 1984 ni nyingine
Halafu kuna nyingine tena Terminator 2: Judgment Day ya 1990 au 1991
Zote star ni Anorld
Na bahati mbaya huyu Bruce ameshasema yeye anaangalia mpunga tu,iwe movie ya hovyo mtajua wenyewe.Actors wa zamani wote kwa sasa wanaigiza movie zenye bajeti ndogo, hazina mvuto...
Bruce Wills ndio anaongoza na mimovies kibao jau tu...
Hii si ndio mwamba ana vidole vya chuma[emoji848][emoji848][emoji848]Blood on the moon ya Gary Daniel bonge moja la movie
Haahaa,Aisee Bora stunts za Jackie Chan hua Ni reasonable kuliko za Jet li(huyu ana uongo uliopitiza aisee)
Mbabe amepotea huyuBilly Blanks...mwamba kabisa huyu hapaView attachment 2585840
Yuan alikua vizuri sana...Above the Law-Yuen Biao.