MARK II GR INAUZWA (4 cylinder)

MARK II GR INAUZWA (4 cylinder)

Mkuu tuwekee picha....then mambo mengine baadae! Wanunuzi wanajulikana...sio maneno mengi...
 
Mkuu tuwekee picha....then mambo mengine baadae! Wanunuzi wanajulikana...sio maneno mengi...


Habarini za asubuhi asubuhi Kwetu ni kwetu na wana JF wote,

Pichani ndio gari inayouzwa.
 

Attachments

  • markII GR.jpg
    markII GR.jpg
    2.2 KB · Views: 78
umesema ni gari ya mwaka gani vile, na user alikuwa anaitumia kwa matumizi gani (tax au personal) na imelipiwa ushuru wote au iko kwenye exemption list, if u dont mind weka full details kaka.
 
umesema ni gari ya mwaka gani vile, na user alikuwa anaitumia kwa matumizi gani (tax au personal) na imelipiwa ushuru wote au iko kwenye exemption list, if u dont mind weka full details kaka.

Gari ni ya mwaka 1992, imetembea km 170,000. Ilikuwa inatumiwa kwa matumizi binafsi na imelipiwa ushuru wote.
 
Habarini za asubuhi asubuhi Kwetu ni kwetu na wana JF wote,

Pichani ndio gari inayouzwa.

Duh mkuu hiyo picha utafikiri umepiga kwa kujificha.....ndogo mno...pia tulitaka various view ie front view, side view, inside view etc

Halafu hiyo bei haijatulia.....ukiangalia mwaka wa gari na masafa iliyotembea....kwa bei hiyo havilingani.

Mi simo kwenye hili shindano........nimeamua kukubali yaishe
 
]Duh mkuu hiyo picha utafikiri umepiga kwa kujificha.[/COLOR]....ndogo mno...pia tulitaka various view ie front view, side view, inside view etc

Halafu hiyo bei haijatulia.....ukiangalia mwaka wa gari na masafa iliyotembea....kwa bei hiyo havilingani.

Mi simo kwenye hili shindano........nimeamua kukubali yaishe
hihihihihihihihhihihihi ndio tatizo la madalali.....picha yenyewe noma....
 
Habarini za asubuhi asubuhi Kwetu ni kwetu na wana JF wote,

Pichani ndio gari inayouzwa.
mkuu dalali.......hako kapicha mbona kadogo sana weka ionekane vizuri......pili lol 1992 kwa 170k km? hell nooo
 
Una option ya kusave na ku-enlarge picha kadiri utakavyo.
 
Mkuu bei ipo juu mno kha! nataka nikiichukua hiyo sasa nitakuwa nanywea Mbagala. Badala ya Sinza mizinga mingi.
 
We Fidel, hicho chombo si cha mbagala wala Sinza... mbona unakishushia hadhi? Kiangalie vizuri km minjicho yako haioni vizuri isave kisha enlarge mpaka ijae kwenye kascreen kako. I am sure ukikichukua utakigeuza cha kutokea tuu...

Let's make a long story short, least we turn to be a real dalali who has met muuza kahawa wa chini ya mwembe.
 
We Fidel, hicho chombo si cha mbagala wala Sinza... mbona unakishushia hadhi? Kiangalie vizuri

Mkuu hii si mark 2 yakawaida tu au nimekosea?
Hii ilitakiwa bei ianzie 4mil na nikiongea hapo utafika kwenye 3 na ushee nakamata mzigo.
 
Pole, so far I have tried my best, think you have noted that. I did not even bother to be called dalali km haiuziki haiuziki. Ninamaana sitaweza kwenda kupiga picha nyingine kusave for the purpose ahead.

As I close hii mada from my side, Im grateful for the opportunity to interact with you guy! Stay well
 
Mkuu hii si mark 2 yakawaida tu au nimekosea?
Hii ilitakiwa bei ianzie 4mil na nikiongea hapo utafika kwenye 3 na ushee nakamata mzigo.

Binafsi nisingeiacha km angenikubalia kwa tatu na nusu. Hata hivyo ikitokea umepata tip ya kuwepo kwa mark2 GR (4 cylinder) iliyo katika hali km hii or even chini kidogo na inakwenda kwa tatu na nusu pse nishtue mtu wangu.
 
Hata hivyo ikitokea umepata tip ya kuwepo kwa mark2 GR (4 cylinder) iliyo katika hali km hii or even chini kidogo na inakwenda kwa tatu na nusu pse nishtue mtu wangu.

Poa mkuu nimekunyaka lakini bei yako hiyo hata baloon ipo chini kwa hiyo.
 
Binafsi nisingeiacha km angenikubalia kwa tatu na nusu. Hata hivyo ikitokea umepata tip ya kuwepo kwa mark2 GR (4 cylinder) iliyo katika hali km hii or even chini kidogo na inakwenda kwa tatu na nusu pse nishtue mtu wangu.

Kumbe best hata wewe umeona concern yetu......mshauri jamaa yako apunguze kidogo. Truly ingekuwa inaanzia tatu na ushee hivi tungeshakutwangia tangu asubuhi
 
Poa mkuu nimekunyaka lakini bei yako hiyo hata baloon ipo chini kwa hiyo.

Umekosea fidel! waulize watu wa magari bei ya mark II GR na baloon. Do that pse. Naona kilichojuu unakiweka chini na kukipanadisha kilicho chini.
 
Kumbe best hata wewe umeona concern yetu......mshauri jamaa yako apunguze kidogo. Truly ingekuwa inaanzia tatu na ushee hivi tungeshakutwangia tangu asubuhi

Hukunielewa mzee, ninachosema ni kutokuwepo uwezekano wa mshikaji kuiua kwa tatu na, maana hata nisingeitangaza. Hata kukopa au kuharibu bajeti zangu ningefanya hivyo. Na hiyo kuwambia mnitafutie MarkII GR iliyo katika hali hii (AU HATA CHINI KIDOGO) ninauhakika huwezimpata mtu wa namna hiyo. Naifikiri kuna haja ya kuwaconsult watu wa filed hiyo kabla hatujataka kununua. Vinginevyo ndo inafika unataka kufananisha na baloon. Na in-case hiyo ni ngumu angalia hata magari online kisha linganisha bei ya baloon na mark II GR (4 cylinder)
 
Umekosea fidel! waulize watu wa magari bei ya mark II GR na baloon. Do that pse. Naona kilichojuu unakiweka chini na kukipanadisha kilicho chini.

Alafu mkuu nina Town Hiace nataka niiweke sokoni vp bei nianzie ngapi?
 
Back
Top Bottom