MARK II GRANDE -1980cc ipoje?

MARK II GRANDE -1980cc ipoje?

Wadau nataka kuongeza kagari kakupiga misele hapa mjini. Maana BIGHORN inanifilisi na wese lake na pia haiuziki. Nimeona MARK II - GANDE 1980 cc inavutia mwenye kuijua kwenye ulaji wa mafuta na spea vp?
 
Acha mbwembwe ww kwani wasukuma ndio waliotengeneza hizo noah? km vipi chukua bajaji haili mafuta inakula upepo tu.
No offense, wasukuma wanapenda sana Noah, ndo maana najiuliza kuliko nichukue gari hii ni bora hata niongeze hela nichukue gari yenye hadhi ya mkoa wa KAGERA, ambayo ni JEEP COMMANDER.
 
No offense, wasukuma wanapenda sana Noah, ndo maana najiuliza kuliko nichukue gari hii ni bora hata niongeze hela nichukue gari yenye hadhi ya mkoa wa KAGERA, ambayo ni JEEP COMMANDER.
Uwiiiii ishomile
 
Actually, tunazungumza na watu wa Uganda ili iwe rahisi kusafirisha hiyo Jeep Commander kwa KLM Cargo kupitia ENTEBBE INTERNATIONAL AIRPORT, then ndo ije Bukoba direct.
 
Infact, kwa Kagera nzima Jeep Commander mpaka sasa zipo 3 tu
1. Prof. Kabyemela, ambaye PhD yake ya Nanoscience alisomea North-Carolina University (USA),
2. Advocate Rutechura, ambae kwa sasa amefungua ofisi ya uwakili pale Wellington, New Zealand.
3. Prof. Mushwauzi huyu yeye anafundisha, International Law, Harvard University, USA kwa miaka 20 sasa.
 
Back
Top Bottom