Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujaeleza cfa za gali lako mkuuu, waambie watu ukubwa wa injini, waambie sifa za ziada kama sportlim, redio, airbag, lkn pia picha hazitoshi , maana tunataka tuone mpaka ndani kama siti zimekwisha. Tuone mataili, kule carfrom japani tangazo moja la gali lina picha zaid ya 30 huku ueweka picha 3, steling ipo upande gan vileeee?Mark x
Kigambon, Dar
full AC Bei mil 6.7
Call 0713630354
WhatsApp 0737480658
View attachment 1868032
View attachment 1868033
View attachment 1868034
Ganga hizo buku saba utanunua tu hata V 8Daah ama kweli siku hazigandi
Nikikumbuka miaka hiyo Bei ya hizi gari.
One day tutanunua ile gari ya kijana wa Tandare.Daah ama kweli siku hazigandi
Nikikumbuka miaka hiyo Bei ya hizi gari.
Katumia brush na roller.. 🤣🤣aliepaka rangi hiyo gari mwambie Mungu anamuona...
Katumia brush na roller.. [emoji1787][emoji1787]
Gari siku zote thamani haipandagiDaah ama kweli siku hazigandi
Nikikumbuka miaka hiyo Bei ya hizi gari.
Hata mimi nakereka sana na huu msemo wa full AC.Kwanini mnaandikaga full AC?