Mark Zuckerberg Mmiliki wa Facebook Akiri Kuchakachua Taarifa za COVID-19 Kwa Shinikizo la Biden

Mark Zuckerberg Mmiliki wa Facebook Akiri Kuchakachua Taarifa za COVID-19 Kwa Shinikizo la Biden

Kutetea ule ujinga wa kudanganya oil na mapapai yalionekana na corona, kikombe cha Madagascar, au maombi kutibu corona, nao ni ujinga daraja la juu zaidi.
Wewe ndio mjinga

Ugonjwa ulikuwa mpya hapakuwa na dawa maalumu mkuu

Kuwaperekea sample wapimaji kwa kuwapima hata ww unaweza kuwapima

Mbona hata vyuoni inafanyika mkuu, unaletewa damu hujui ni ya kiumbe gani unaambiwa uipime useme ulichoona

Tatizo mnatanguliza siasa
 
Wewe ndio mjinga

Ugonjwa ulikuwa mpya hapakuwa na dawa maalumu mkuu

Kuwaperekea sample wapimaji kwa kuwapima hata ww unaweza kuwapima

Mbona hata vyuoni inafanyika mkuu, unaletewa damu hujui ni ya kiumbe gani unaambiwa uipime useme ulichoona

Tatizo mnatanguliza siasa
Kutetea ule ujinga wa kudanganya oil na mapapai yalionekana na corona, kikombe cha Madagascar, au maombi kutibu corona, nao ni ujinga daraja la juu zaidi.
 
Back
Top Bottom